Hao ndio wenye asili ya Australia,ikumbukwe wazungu walipelekwa huko kutoka Uingereza walikuwa wafungwa ambao jamii yao hawakutaka waishi nao kwa wakapelekwa bara lingine kama adhabu ili wakafie huko na ndio wakawakatu wenyeji Wabrogino ambao uvaaji huo ndio jadi yao ,pia tatoo ni jadi yao,hata hapa Tanzania na Kenya tuna Wamasai wao chupi ni kama maji na mafuta,ingawa siku hizi ndio wameanza kujisitiri angalau wantupia kaptula wakiwa kwenye lubega