Kati ya aina hizi za matrekta, ipi ni bora?

kanjo

Member
Joined
Aug 12, 2016
Posts
10
Reaction score
5
Kati ya Massey, Swaraj na New Holland ipi ni bora na yenye nguvu zaidi?
 
Inategemea na ww ulipo, kuna aridhi huko kilomboero haina dili kabisaaa mpaka mvua inyeshe ,na kuhisi hizi nyingine inategemea ww umenunua namba ngapi maana unaweza kuwa na lenye nguvu alafu sio imara
 
Hapa nadhani inategemea na matumizi zote zinaweza kuwa bora tatizo kilimo kina mambo mengi lazima hatua muhim zote uzingatie tena kwa ufasaha
 
Massey nasikia iko vizuri sana kulima ardhi ngumu. Pia hizo zina namba kuna namba nyungine nzuri kwa ajili ya kufanya pulling tu. Pia massey kwa ujumla wake ni imara ukilinganisha na hizi New holland ambazo siku hizi wengi wanalia sana sababu kiharibika hazikawii
 
Uzuri nwa trekta unategemea. Massey Ferguson nyingi zinatengezwa kwa matumizi mya Ulaya/USA, labda upate zile za zinzotengenezwa Pakistan. Hizo zingine zimezoa udongo ambao umekuwa ukilimwa kwa trekta zaidi ya miaka 100. Pia kumbika kule Ulaya kuna vitendea kazi vya kuondoa visiki.

Swaraj na Mahendra zinazotengenezwa India ni nzuri kwa TZ maana hakli,ya hewa India sawa na TZ. Swaraj hutyengenezwa na Kampuni ambayo hutengeza Mahendra. Mahendra inauzwa saana USA, hii ni kwa sababu ya bei nafuu na uimara. Swaraj ina sifa nyingine ya kutumia mafuta vizuri ukilinganisha na btekta zingine.
 
Swaraji nayo ni trekta nzuri sana. Pia kama jamaa atanipa trekta kwaajili ya kilimo akumbuke kununua yenye 4WD
 
Tractor zote ni nzuri shida inakuja kwenye vitu vifuatavyo:-
Location: wewe unataka uitumie eneo gani tanzania hii kwa mfano unaishi maeneo yenye ardhi ngumu sana unahitaji tractor yenye nguvu yaani 4WD. Kampuni nzuri ni SONALIKA, MAHINDRA, MASSEY, SWARAJ (Kwa maeneo yenye ardhi ngumu sana)
Kwa maeneo yenye ardhi laini na hutaki kulimia sana watu hata MASSEY FERGUSON 135 inatosha kabisa, cheap na lita 20 inaweza wa kulima hekari hadi kumi.

UPATIKANAJI WA SPEAR: Hapa ndo kwenye shida makampuni ya sasa yamebase kwenye utengenezaji wa tractor zenye nguvu ila spear ndo hamna ukiharibu kitu kidogo tu unaweza ukakaa mwaka mzima bila kufanya kazi hii ni kwa matrekta yote ya kisasa isipokuwa MASSEY FERGUSON KAMPUNI KONGWE YENYE SPEAR NYINGI nina ushuhuda sana katika hili.

PSYCHOLOGY YA CONSUMER: Siku hizi watu wanataka tractor zinazotembea sana wakati wa kulima so hilo nalo la kuzingatia sana kumbuka kiendacho kasi hushuka kwa kasi Massey ni Powerful but not faster kwenye ardhi ngumu sana. So nenda kisasa zaidi.

Asanteni
Zingatia USED ZIPO NA ZINATENGENEZEKA KWA KUANZIA SIO MPK UPATE MILLIONI 60 kwa ajili ya kumiliki Tractor Yako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…