MKWEAMINAZI
JF-Expert Member
- May 28, 2023
- 930
- 1,304
MWALIMU NYERERE ANAMALIZA KWA USHAIRI KWENYE KITABU CHAKE.
UONGOZI WETU NA HATMA YA TANZANIA.
Ole wake Tanzania Tusipoisaidia
Niwezalo nimelifanya kushauri na kuonya nimeonya.
tahadhali nimetoa ushauri na kuonya nimeshatoka kitini zaidi nifanye nini.
Namlilia Jaalia atumulikie njia Tanzania ailinde WAOVU wasiishinde.
Amina Tena Amina Amina Tena amina
UONGOZI WETU NA HATMA YA TANZANIA.
MWALIMU JK NYERERE
Unaweza kuthibitisha hiyo "huruma na upendo" ?Wadau nawasabahi.Tuwe Wakweli nani anastahili KUSIFIWA kwa Mchezo wa TAIFA STARS na ALGERIA?
Mimi nawasifia ALGERIA licha ya kucheza Mpira Mkubwa kwa kiwango hicho HURUMA UPENDO wao kwa TAIFA STARS vilichangia KUTUFICHIA AIBU kwa kuamua KUTUBEBA HADHARANI.Sifa za Pekee ziwaendee Wachezaji wa ALGERIA kwa UAMUZI wao leo DUNIA yote e imejua TANZANIA TUMEFUZUView attachment 2744530
All in all we godamn going to Ivory Coast,Wadau nawasabahi.Tuwe Wakweli nani anastahili KUSIFIWA kwa Mchezo wa TAIFA STARS na ALGERIA?
Mimi nawasifia ALGERIA licha ya kucheza Mpira Mkubwa kwa kiwango hicho HURUMA UPENDO wao kwa TAIFA STARS vilichangia KUTUFICHIA AIBU kwa kuamua KUTUBEBA HADHARANI.Sifa za Pekee ziwaendee Wachezaji wa ALGERIA kwa UAMUZI wao leo DUNIA yote e imejua TANZANIA TUMEFUZUView attachment 2744530
Ball possession siyo metric sahihi ya kujaji mechi. Football ni mchezo wa malengo. Taifa Stars lengo lao kubwa na ambalo lilikuwa rahisi kufikiwa ni draw. Na siku zote unapopambana na adui yako unatumia udhaifu wa adui yako. Algeria au timu za waarabu nyingi wanacheza rafu nyingi. Ukiangalia hata mechi ya kwanza walicheza rafu zaidi ya ishirini. Pamoja na ball possession ya 15% (actually ilkuwa 20% ) bado stars walipata kona 5 kwa 1 ya Algeria. This means stars walifanikiwa kwenye malengo yao. Ndiyo maana timu kama Barcelona huwa wanafungwa na timu ndogo halafu watu wanashangaa. You play to your enemies weakness not his strength.Wadau nawasabahi.Tuwe Wakweli nani anastahili KUSIFIWA kwa Mchezo wa TAIFA STARS na ALGERIA?
Mimi nawasifia ALGERIA licha ya kucheza Mpira Mkubwa kwa kiwango hicho HURUMA UPENDO wao kwa TAIFA STARS vilichangia KUTUFICHIA AIBU kwa kuamua KUTUBEBA HADHARANI.Sifa za Pekee ziwaendee Wachezaji wa ALGERIA kwa UAMUZI wao leo DUNIA yote e imejua TANZANIA TUMEFUZUView attachment 2744530
Na faulo 21We jiulize kwanini algeria pamoja na kuwa na possession kubwa sana lakini wana shot on target moja tu?
Hujui mpira ndiyo nyie Magoli ya Penalt mnayakataaSiku zote soka hupimwa zaidi kwa matokeo,
Kwenye soka historia humkumbuka mshindi na sio mpiga chenga au aliye pose zaidi possession ya mpira,
Kwenye soka kinachomata zaidi ni results ya mchezo that's all.