Kati ya Alikiba na Harmonize nani mkali?

Kati ya Alikiba na Harmonize nani mkali?

Deadbody

JF-Expert Member
Joined
May 30, 2015
Posts
4,274
Reaction score
6,595


kibaa.JPG


har.jpg


 
Alika hashindani na MTU ila watu ndo wanashindana na mziki wake!.....
 
Meneja wa Simba kaliwa ban na tff nyundo 1 na TSHs 1m
 
Wacha kumfananisha Harmonise na vitu vya ki****nga!
Kiba tallent imekwisha evaporate...
 
kunabaadhi ya watu ningekua moderator siku nyingi sana wangeskia jamiiforum kwenye radio
 
huwezi ukamsamanisha alikiba kwa Harmonize kiba ameshaisha anakalia jina tu na jeuri ..Harmonize ashampita sana tu.
 
Bila kufungamana na upande wowote... tukienda kwenye namba na uhalisia harmonize ni mwanamzik anae fanya vzur zaid tanzania kwa sasa aki fuatiwa kwa karibu na boss wake mond... alikiba ni kama ayuko serious na mziki ivi
 
Back
Top Bottom