Hawa jamaa ningependa tuwachambue kitaalamu ni yupi mkali kuzidi mwingine na kwa nini?
Maana ubishi mtaani umekua mkubwa yaani mtu akipeleka gari yake sehemu moja na mwingine kwingine wanaishia kutamba oohh gari yangu vile mara wewe iko vile.
Sasa kwa wataalamu naomba tuelezane bila upendeleo ni yupi mkali kuliko mwingine na sababu ni ipi inayomfanya awe mkali au asiwe mkali kuzidi mwenzake.
Maana ubishi mtaani umekua mkubwa yaani mtu akipeleka gari yake sehemu moja na mwingine kwingine wanaishia kutamba oohh gari yangu vile mara wewe iko vile.
Sasa kwa wataalamu naomba tuelezane bila upendeleo ni yupi mkali kuliko mwingine na sababu ni ipi inayomfanya awe mkali au asiwe mkali kuzidi mwenzake.