kokudo
JF-Expert Member
- Oct 26, 2010
- 2,571
- 1,760
Kutokana na utata unaojtokeza kwenye familia nyingi kiac cha kuleta kutoelewana juu ya watoto.hisia mbaya huwakumba hasa wanaume wakidhani watoto wale c wao.je nani mhusika mkuu wa swala hili?Wengi wamelea watoto wakidhani ni damu yao kumbe cha kike.
NB:KITANDA HAKIZAI HARAMU
NB:KITANDA HAKIZAI HARAMU