Kati ya BABA au MAMA yupi ni mzazi halali?

kokudo

JF-Expert Member
Joined
Oct 26, 2010
Posts
2,571
Reaction score
1,760
Kutokana na utata unaojtokeza kwenye familia nyingi kiac cha kuleta kutoelewana juu ya watoto.hisia mbaya huwakumba hasa wanaume wakidhani watoto wale c wao.je nani mhusika mkuu wa swala hili?Wengi wamelea watoto wakidhani ni damu yao kumbe cha kike.
NB:KITANDA HAKIZAI HARAMU
 
Mbona title ya hii ni tofauti na content yake? Lakini definitely ni mama na ndiyo maana makabila mengine mjomba huwa na nguvu kuliko baba.

Mama hawezi kudanganya na akizaa ataonekana tu lakini baba mmmmmmhhhhhh!
 
Kwa teknolojia ya sasa where DNA thing rules - wote ni wazazi, unless u can't afford the DNA related costs.
 

Una miaka mingapi wewe?
 
Ukweli unabaki palepale kuwa mzazi wa ukweli ni mama kwani ndie hasa tunaemwona na mimba kisha mtoto lakini baba anaweza kusingiziwa ili mradi mimba ilitungwa wakati mama akiwa katika ndoa
Teacher Kapex
 
Maswali mengine ni kudhalilisha wazazi wetu. Wote ni wazazi kamili nukta..:sick::sick:
 
Nilishawahi uliza hapa lakini sikupata msaada, je wale wanotokana na "sperm donnors" nao kwenye vyeti vyao huandikwa wale baba waliouza mbegu husika. Hili jambo kwangu ni tata vile vile, please help kwa anaejua. Kwa hapa mama haina tatizo, baba je?
 
Daaa wote ni wazazi bwana, so long as umezaliwa ukawakuta na wamekulea wacha wote wastahili kuitwa wazazi.
 
Mama! Ampendae mama yako ndie baba yako waswhili husema!
 
wa ukweli mama, ndo maana hata ukijikwaa utaita mamaaaa!
pia ukiwa na kitu kinakusibu utamwambia mama maana ndo ndugu yako na asili yako
 
Acha mambo zako ww!iz ndo story za kuku au yai nani katangulia.
Ukweli unabaki palepale kuwa mzazi wa ukweli ni mama kwani ndie hasa tunaemwona na mimba kisha mtoto lakini baba anaweza kusingiziwa ili mradi mimba ilitungwa wakati mama akiwa katika ndoa
Teacher Kapex
 
Mtoto akiambiwa shuleni kamlete mzazi wako atampeleka nani?
 
Mtoto akiambiwa shuleni kamlete mzazi wako atampeleka nani?

kutokana na baba kukabiliwa na majukum na kama mama ni mama wa nyumbani,bas mama ndo huenda shulen,ila ukikuta wote wanafanya kazi,mara mingi wafanyakaz wa ndani huchukua uhususika,au jirani hata rafk wa karbu na familia.
 
Ukweli upo wazi kwamba mama ndie anayejua ukweli wa baba wa watoto. Kama mama yako hajatoa kauli ya kumkana baba yako basi huyo baba ndio baba yako halali. Kwa hiyo baba na mama ndio wazazi halali basi.
 
naona mmekosa la kujadili au vp okay lakn mm cpo huku
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…