Kati ya Bob Marley na Michael Jackson nani ni maarufu kuliko mwenzake?

Bob marley brought reggae to the map, he was the first world star from the third word

Michael Jackson is simply the greatest intertainer of all time
 
Mj ni maarufu worldwide, hakuna nchi isiyomjua MJ,

Bob ni maarufu worldwide too lakini sana sana 3rd world countries ndio maarufu zaidi,

Tofauti zao ni: Mj was the best entertainer of all time na Bob alikua ni Influencer of all time,

Mziki wa Bob ulimgusa kila mtu mweusi na Mziki wa MJ uligusa kila rangi.
 
Hivi unaanza kwanza hata kumcompare Michael Jackson na msanii yoyote hapa duniani na hata nje ya dunia.

Michael Jackson katika ulimwengu wa muziki hakuwa mwanadamu, alikuwa super power. Alikuwa ni zaidi ya mtu anaeimba vizuri kuliko wengine. Kwakifupi hata ungeshindanisha Michael Jackson na yeye mwenyewe angejishinda maana ni mkali hata yeye mwenyewe hawezi kujishindanisha na yeye mwenyewe.

Hebu acha upuuzi wako na ufanye utafiti mpya.....

Eti Michael Jackson na Bob Marley,... Khaaaaaaaah wewe hivi upo serious?!

Kuna mataifa ukianzisha uzi kama huu waziri mkuu anawapigia simu usalama wa taifa wakutafute ufungwe jiwe shingoni utupwe baharini ufe.....



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nguo, mabegi,clubs,lounge nk.nyingi zimepambwa kwa picha za Bob Marley na si Michael Jakson.

Michael umaarufu wake unaenda chini kadri vizazi vipya vinavyo kuja bt vitu ni tofauti sana kwa bob....Nyimbo zake za ukombozi hazina ukomo pia stoners wanazaliwa na namba yao inazidi kila siku,na Bob ndo nabii wa hao stoners...pia ukimuona Rasta yeyote unamkumbuka Bob..

Bob Marley ame influence dunia kwa muziki wake na maisha yake....kwa Michael J ni muziki tu.
 
Ni kweli kaka watu waliofanya naye kazi wanasema hakuwa mtu wa kawaida aisee.
 
Thread closed
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…