wazeee dawa ya kupoza jinoo ni nn? Hapa naona km mochwari ile pale.
Mzee babawazeee dawa ya kupoza jinoo ni nn? Hapa naona km mochwari ile pale.
AiseeMwana,
boda wanawakula kwa sana,si unajua mambo ya usafiri mijini?
Nina jamaa yangu ana boda boda dah anawamega kinoma
1.ana mke na watoto 2,
2,ana mademu 2,wote kawapangia vyumba na full fenicha ndani,
3,ungo kawawekea dstv wote na kila mwezi anawalipia
4,bado mecho ndogo ndogo kama kwa wakusoma anapiga,
wa ud anao 2 na secondaru 2.
Sasa sijui anawakulaje wote.
Wale jamaa wanakula rika zote: kuanzia wanafunzi hadi watu wazima.
ule uzi ukiosema 'mazungumzo ya vijana wa kitanzania 96% ni pumba' hakudanganya!
eti hili nalo linapandishwa jukwaani lijadiliwe!
I am crying for my motherland Tanzania!
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu hizi ndo maada kuntu sasaule uzi ukiosema 'mazungumzo ya vijana wa kitanzania 96% ni pumba' hakudanganya!
eti hili nalo linapandishwa jukwaani lijadiliwe!
I am crying for my motherland Tanzania!
Sent using Jamii Forums mobile app