Kyabashasa
Member
- Nov 29, 2020
- 10
- 4
Vyote vya serikali ada zinafanana tu..m nashauri aende kibaha..mana ni chuo kikongwe..zaidi tambua c.o sahivi imekua kama ualimu tu.Jaman naomba ushauri Kati ya chuo cha afya lugalo na kibaha kipi kizuri zaidi cha kwenda make mdogo wang kapata hivyo vyote wamemuhita sasa kipi kizuri cha kwwnda ? Na je Ada zao zipo sawa ama zinatofautiana?diploma ya clinical medicine, msaada tafadhali
Hahahaaaaaaaa imakuwa kama ualimu? Unamaanisha ajira zake changamoto?Vyote vya serikali ada zinafanana tu..m nashauri aende kibaha..mana ni chuo kikongwe..zaidi tambua c.o sahivi imekua kama ualimu tu.
#MaendeleoHayanaChama
Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Aende kibahaJamanI naomba ushauri Kati ya Chuo cha afya Lugalo na kibaha kipi kizuri zaidi cha kwenda make mdogo wang kapata hivyo vyote wamemuhita sasa kipi kizuri cha kwwnda?
Na je, ada zao zipo sawa ama zinatofautiana? Diploma ya Clinical Medicine? Msaada tafadhali
Kwani second selection za nacte zimetoka?JamanI naomba ushauri Kati ya Chuo cha afya Lugalo na kibaha kipi kizuri zaidi cha kwenda make mdogo wang kapata hivyo vyote wamemuhita sasa kipi kizuri cha kwwnda?
Na je, ada zao zipo sawa ama zinatofautiana? Diploma ya Clinical Medicine? Msaada tafadhali