Kati ya gari za mjerumani na mjapan ni gari zipi zinatumia Mafuta vizuri?

Kati ya gari za mjerumani na mjapan ni gari zipi zinatumia Mafuta vizuri?

Feld Marshal Tantawi

JF-Expert Member
Joined
Dec 24, 2014
Posts
655
Reaction score
1,069
Wakuu wasalam

Bila kupoteza mda majuz nilikua kwenye kijiwe kimoja kukaibuka mjadala mzito sn juu ya gari za mjapan na mjeruman hasa kwenye suala la matumiz ya mafuta

Wapo waliodai mjeruman magar yake kama aud,bmw,na hata benzi yanatumia mafuta vizur zaid kuliko gari nyingi za mjapan kam alteza,crown n.k

Watoa hoja wanadai gari nyingi za mjerumn zimetengenezwa kutumia zaid umeme kuliko mafuta na wanadai ndio mana zinakula wese vizuri kuliko gari za mjapan

Naomba tujuzane kwa kina zaid wadau juu ya hii mada mana kila mtu naona alikua anavutia kwake

Ukweli ni upi ?je mfano gari za aud za cc 1500au 1700 inakulaje mafuta ukilinganisha na gari za cc sawa za mjapan kama ist,n.k

Wadau naomba kuwasilisha kwa ajili ya udadavuz zaid
 
Tatizo utakuta "kijiweni" mtu ana compare BMW ya mwaka 2015 na Altezza ya mwaka 2003.

Siku hizi magari yote yana technology ambazo zinasaidia sana katika issue ya fuel efficiency, mfano hybrids, eco modes, efficiency dynamics, mengine yanajizima likikaa hidle dakika 5 na kujiwasha ukibonyeza tu breki, etc. sasa hizo technology hazikiwepo uko zamani 2003.

Sio Japanese wala Germany, siku hizi wote wanajali sana maswala ya wese.

Wabishi ni USA tu. Achelewi kukuletea gari ila cc6500.
 
Tatizo utakuta "kijiweni" mtu ana compare BMW ya mwaka 2015 na Altezza ya mwaka 2003.

Siku hizi magari yote yana technology ambazo zinasaidia sana katika issue ya fuel efficiency, mfano hybrids, eco modes, efficiency dynamics, mengine yanajizima likikaa hidle dakika 5 na kujiwasha ukibonyeza tu breki, etc. sasa hizo technology hazikiwepo uko zamani 2003.

Sio Japanese wala Germany, siku hizi wote wanajali sana maswala ya wese.

Wabishi ni USA tu. Achelewi kukuletea gari ila cc6500.
daaaa hatar aiseee
 
Mzee wewe pambana ununue used car uliyo na uwezo nayo. Hayo mengine waachie wenyewe humu.
 
Tatizo utakuta "kijiweni" mtu ana compare BMW ya mwaka 2015 na Altezza ya mwaka 2003.

Siku hizi magari yote yana technology ambazo zinasaidia sana katika issue ya fuel efficiency, mfano hybrids, eco modes, efficiency dynamics, mengine yanajizima likikaa hidle dakika 5 na kujiwasha ukibonyeza tu breki, etc. sasa hizo technology hazikiwepo uko zamani 2003.

Sio Japanese wala Germany, siku hizi wote wanajali sana maswala ya wese.

Wabishi ni USA tu. Achelewi kukuletea gari ila cc6500.
USA petrol ni sent 50 kwa lita (tshs 1100). Kwa hil bei ya wese USA ni nusu bei ya Tz au nchi nyingi duniani. Na wana $$$ kwa hio kwao wese sio issue. Wanapenda magari yenye power, na ukubwa wa engine means more power which mean more fuel consumption.
 
Mzee wewe pambana ununue used car uliyo na uwezo nayo. Hayo mengine waachie wenyewe humu.
Najua sana kaka,ila naomba kidogo tujikite kwenye mjadala ili kusaidia watu wwngine mana wanadai hata kabla ya hii technolojia mpya lkn bado wanadai german car zilikua more economy than japanese car

Hebu ngoja tusubir wadau tuone wanasemaje
 
USA petrol ni sent 50 kwa lita (tshs 1100). Kwa hil bei ya wese USA ni nusu bei ya Tz au nchi nyingi duniani. Na wana $$$ kwa hio kwao wese sio issue. Wanapenda magari yenye power, na ukubwa wa engine means more power which mean more fuel consumption.
ok ok
 
Hata hizo germans zina tofautiana sana.

Kuna zile models za kawaida ambazo zina considerable fuel consumption.

Na performance models kama M, R - Line, AMG, RS. Hizi zinakula sana mafuta.
 
Tatizo utakuta "kijiweni" mtu ana compare BMW ya mwaka 2015 na Altezza ya mwaka 2003.

Siku hizi magari yote yana technology ambazo zinasaidia sana katika issue ya fuel efficiency, mfano hybrids, eco modes, efficiency dynamics, mengine yanajizima likikaa hidle dakika 5 na kujiwasha ukibonyeza tu breki, etc. sasa hizo technology hazikiwepo uko zamani 2003.

Sio Japanese wala Germany, siku hizi wote wanajali sana maswala ya wese.

Wabishi ni USA tu. Achelewi kukuletea gari ila cc6500.
Wanakauli zao za kibabe sana!
*only milk & juice come in 2L (hapa wanazingua gari za 2000cc)

*life is too short to worry about miles per gallon!
 
Back
Top Bottom