Hilo likae mbele ulipe mipira vizuri basi msimu mmoja hukosi goli 40Naondoka na jini haaland
Unalinganisha UDP na CCM au?Tulikua tunabishana hapa kuhusu uwezo v osimhen vs erling haalan nani mkali zaidi?
Mfano umepewa nafasi ya kumsajili mchezaji mmoja kati yao utamchukua nani na kwasababu gani?
Mimi namchukua Victor osimhen kwasababu ana offer vitu vingi kuliko haaland, kwanza osimhen ni mpambanaji zaidi yaani hata team ikizidiwa ana uwezo wa kushuka chini na kuchukua mali ila haaland team ikizidiwa utamkataa anaweza kugusa mpira mara 3 ndani ya dk 90.
Je ww utamchukua nani?