Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nitachanganya na akili zangu halafu namsikiliza mwanajeshiUko zako unatembea mara pap! Anatokea mwanajeshi na bunduki mkononi anakuamrisha, simama!! Ghafla bin vuu anatokea mchungaji na bible mkononi anakuamrisha kwa jina la yesu, hakuna kusimama!!
Je ni yupi ungetii amri yake!!
Jeshini huwa unasikiliza ile kauli ya mwisho ni sawa na uitwe na zaidi ya wanne kwenda juu ila ktk hao yule wa mwisho kuita ndie unamsikiliza kwanzaUko zako unatembea mara pap! Anatokea mwanajeshi na bunduki mkononi anakuamrisha, simama!! Ghafla bin vuu anatokea mchungaji na bible mkononi anakuamrisha kwa jina la yesu, hakuna kusimama!!
Je ni yupi ungetii amri yake!!
Kwanza natetea uhai wangu then nafsi hata kama ningekuwa mkristo ila kwa mimi muislam definetely nitamsikiliza huyo mshenzi mwenye bunduki bila kuifikiria option 2!Uko zako unatembea mara pap! Anatokea mwanajeshi na bunduki mkononi anakuamrisha, simama!! Ghafla bin vuu anatokea mchungaji na bible mkononi anakuamrisha kwa jina la yesu, hakuna kusimama!!
Je ni yupi ungetii amri yake!!
Hhahaahah!!! Za kuambiwa...... HhahahaahNitachanganya na akili zangu halafu namsikiliza mwanajeshi
Kwa haraka haraka mimi nasimama yesu simjuiii kwakweli.Uko zako unatembea mara pap! Anatokea mwanajeshi na bunduki mkononi anakuamrisha, simama!! Ghafla bin vuu anatokea mchungaji na bible mkononi anakuamrisha kwa jina la yesu, hakuna kusimama!!
Je ni yupi ungetii amri yake!!
Ohooo kawaulize waliomsikiliza Kinjekitile dhidi ya mabeberu, watakusimulia kwa masikitiko kilichowakuta. Hahhhahaha!!!Mchungaji,,kwa sababu atakua ashaikemea bunduki ya mjeda na risasi ikitoka itakua maji"
Ohooo kawaulize waliomsikiliza Kinjekitile dhidi ya mabeberu, watakusimulia kwa masikitiko kilichowakuta. Hahhhahaha!!!