Kati ya hawa ni yupi ungetii amri yake

Hahahahahahah kwa jinsi kulivyo na watumishi feki wengi siku hizi, namsikiliza mwenye ak47 sitaki mchezo na haka kapumzi kabisa
Aaaah kwa iyo wewe Mungu wako humuamini au niaje mzee?
 
Ohooo kawaulize waliomsikiliza Kinjekitile dhidi ya mabeberu, watakusimulia kwa masikitiko kilichowakuta. Hahhhahaha!!!
Aaaah umenikumbusha mbali sana aisee?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…