Kati ya kampunu hizi nichukue tairi zipi?

profesawaaganojipya

JF-Expert Member
Joined
Apr 21, 2015
Posts
1,595
Reaction score
3,416
kati ya kampuni hizi za tairi za china,ipi ni nzuri wadau,kuna BOTO,SAILUN NA LINGLONG-zote bei ni 145,000/kwa pisi,nichukue kampuni ipi?nataka pisi 2 za mbele,205/70R15.
 
Tairi kwa sasa Zimepanda sana Bei....Serikali Iangalie Hili Jambo la Tairi Kupanda Bei.
 
kati ya kampuni hizi za tairi za china,ipi ni nzuri wadau,kuna BOTO,SAILUN NA LINGLONG-zote bei ni 145,000/kwa pisi,nichukue kampuni ipi?nataka pisi 2 za mbele,205/70R15.
Chukua linglong hayo mengine kifafa sifa ya linglong mpaka tyre inaisha na kuwa kipara haitokuwa na shida hayo mengine hayakawii kuvimba na good ride ni tatizo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…