NguoYaSikuKuu
JF-Expert Member
- Jul 3, 2013
- 681
- 1,020
rudini bongo
Tafadhali msimweke Eminiem hapa ! Tuendelee na hao hao !
Eminiem ni kama malaika hivi ! Huwezi mfananisha na binadam wa kawaida !
Nilizielewa post zako zote huko juu, lakin hii sijakuelewa!!!
kwamba Eminem ndo the best rapper/Emcee alive???
kwamba ni malaika (mkali) huwez kumfananisha na binadam (rapper/emcee) mwingne???
kama ni kweli ntakuwa nimekushusha vyeo sana!!!..ukilinganisha na post zako za huko juu!!!
Hizo takwim zako zina nitia shaka haziko hivo! Kumbuka lil wayne 2008 mpaka 2011 ndio ilikua miaka yake ya mfanikio! Na takwim za mtv hottest rapper pia zina onyesha hivo!
Takwi halisi za hao Mtv ambao ni ka kikao tu ka watu wenye mawazo kama sisi kuanzia mwaka ulio utaja zime inklude wasanii 6 tofauti kuna 50 cent , kuna eminem kuna jayz kuna lil wayne kuna kany west! Kuna rosco dash mpaka niki minaj yupo! haija wai tokea kanye akaongoza toka mwaka ulio utaja mpaka 2013 haipo period!
Wamekuwa wakibadiliahana nafasi hiyo isipokua jay z ndo anaonekana kujirudia mara nyingi!
Tafadhali msimweke Eminiem hapa ! Tuendelee na hao hao !
Eminiem ni kama malaika hivi ! Huwezi mfananisha na binadam wa kawaida !
Kunakitu sija waelewa hapa Eminem mnaongelea style ya kuflow au mnaongelea lyrical! Eminem kwa style ya ku flow sawaaaa! Ila kama ni lyrics nope! Ana nyimbo nyingi hits za comedy! Kunawatu wanaimba hip jamni sema ndo hivyo! Watu ka akina common, gosby sio wa tz lakin? Taalib kwelii! Na nk! Tusimpaishe hiiiiivyo emine stil the new king yuko juu pale Jay z! Kwenye game kitambo sana
Nilichokiongea hapo nimeongelea ! Kulingana na rappers waliwekwa hapo !
Na kama mtiriko mzima ulivyo onesha kwamba ze best rapper ni T.I basi ukimchukua T.I na emminiem nadhani hata wewe utakubaliana na emminiem !
emminiem the best emcee kaka !
Namkubaligi sana T.I ingawa tokea ameanza kwenda jela haeleweki