cmoney
JF-Expert Member
- Oct 14, 2011
- 3,570
- 5,508
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza.
Nmefuatilia hawa manguli wawili kwenye muziki wa kufokafoka R.O.M.A (Rhymes Of Magic Attraction) na KING KAKA aka Rabit aka rhymilionear na nyimbo zao mpya Wajinga Nyinyi na Anaitwa Roma ambayo kila mmoja kwa wakati wake umeleta tafaruku mbalimbali kenya na Tanzania ilipotolewa kwa kuwachana watawala wadharimu bila kuficha neno.
Jambo hili limesababisha Roma mpaka sasa kuendelea kubaki marekani wajuvi wakisema anaogopa akija kufanywa kibaya na Rabit kufikia kutishiwa maisha na kutaka funguliwa mashtaka hadi wananchi kuanzisha hashtag #istandwithkingkaka
Je, mnahisi msanii yupi ameweza iteka vizuri jamii na anastahili kupewa tuzo ya mistari bora kabisa kufungia mwaka 2019?Nawasilisha wanajamvi
Nmefuatilia hawa manguli wawili kwenye muziki wa kufokafoka R.O.M.A (Rhymes Of Magic Attraction) na KING KAKA aka Rabit aka rhymilionear na nyimbo zao mpya Wajinga Nyinyi na Anaitwa Roma ambayo kila mmoja kwa wakati wake umeleta tafaruku mbalimbali kenya na Tanzania ilipotolewa kwa kuwachana watawala wadharimu bila kuficha neno.
Jambo hili limesababisha Roma mpaka sasa kuendelea kubaki marekani wajuvi wakisema anaogopa akija kufanywa kibaya na Rabit kufikia kutishiwa maisha na kutaka funguliwa mashtaka hadi wananchi kuanzisha hashtag #istandwithkingkaka
Je, mnahisi msanii yupi ameweza iteka vizuri jamii na anastahili kupewa tuzo ya mistari bora kabisa kufungia mwaka 2019?Nawasilisha wanajamvi