Ukwel mtupu
Member
- Jan 30, 2014
- 40
- 8
Wakuu mim nipo mwanza town na kama mjuavyo jiji la Mwanza ni kati ya majiji yanayokuwa kwa kasi sana nchini hivyo demand ya ardhi ni kubwa mno hali inayopelekea viwanja kupanda bei kila siku.
Binafsi nina kama sh laki nane cash ninataka ninunue eneo pembezon mwa mji lakin pia kuna mtu amenishauri ninunue ng'ombe kama wanne kwa bei ya lak 2@ halafu niwafuge kwa muda mchache then niwauze kwa bei ya juu halafu ndo ninunue eneo, sasa nashindwa kuelewa which is profitable?
Naombeni ushauri wakuu!
Binafsi nina kama sh laki nane cash ninataka ninunue eneo pembezon mwa mji lakin pia kuna mtu amenishauri ninunue ng'ombe kama wanne kwa bei ya lak 2@ halafu niwafuge kwa muda mchache then niwauze kwa bei ya juu halafu ndo ninunue eneo, sasa nashindwa kuelewa which is profitable?
Naombeni ushauri wakuu!