Ukwel mtupu
Member
- Jan 30, 2014
- 40
- 8
Mpaka muda wa kuwauza hao ng'ombe, viwanja vitakuwa vishapanda bei.. na mwisho wa siku faida yote uliyoitengeneza ikawa haina maana...Wakuu mim nipo mwanza town na kama mjuavyo jiji la mwanza ni kati ya majiji yanayokuwa kwa kasi sana nchini hivyo demand ya ardhi ni kubwa mno hali inayopelekea viwanja kupanda bei kila siku. Binafsi nina kama sh laki nane cash ninataka ninunue eneo pembezon mwa mji lakin pia kuna mtu amenishauri ninunue ng'ombe kama wanne kwa bei ya lak 2@ halafu niwafuge kwa muda mchache then niwauze kwa bei ya juu halafu ndo ninunue eneo, sasa nashindwa kuelewa which is profitable? Naombeni ushauri wakuu!
Taja kabila kwanza vitu ukifanya vinaendana na kabila tujuzane kwanza
Unauliza kabila lake, kwani kasema anataka kutambika? ( JKN) !!!!!!!
Nunua shamba,
baada ya mwaka utapata zaidi ya mara kumi ya initial cost
lakini ng'ombe ni probability alafu wanahitaji matunzo