Kati ya KMC na Lipuli ni nani alistahili kwenda Confederation Cup

Salt Bae

Senior Member
Joined
Jan 9, 2019
Posts
140
Reaction score
196
Kabla ya kuongezwa kwa idadi ya Team zitakazocheza mashindano ya CAF Champions League na Confederation ilikuwa bingwa wa league anaenda Champions League na bingwa wa wa FA anaenda Confederation.

Baada ya League kuisha msimamo ukawa
1.Simba
2.Yanga
3.Azam
4.KMC

Na kwenye FA Cup Azam na Lipuli zilifika fainali na Azam kuwa bibgwa.

Je Kati ya KMC na Lipuli ni nani alistahili kwenda Confederation Cup?
 
Ni bingwa tu wa FA ndio anaenda kombe la shirikisho na si timu nyingine yeyote kutoka FA. Baada ya hapo unaangaliwa msimamo wa ligi kuu.

Hili swala lilishajadiliwa muda tu.
 
Mtoa mada upo? Umeelewa? Au bado una changanyikiwa? Waambie lipuli watafute nafasi kwa jasho lao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…