Kati ya Koffi Olomide na Werrason Ngiama Makanda, nani mkali/tajiri?

Mopao/Papaa fololo /Kodra kora man yupo juu. Uwezi kumlinganisha na Weraa. Ila wera ana madogo wawili (Deplic &Frabrice) wananikosha mbaya
 
Anaitwa Mokonzi (mkubwa) au le milliader(bilionea) ukipenda unaweza kumwita Jean patron( tajiri mtoto) ni mmiliki wa hotel namba mbili kwa ubora katika mji wa Kinshasa na utajiri wake unakisiwa kua USD Milion 47 wakati Wera anakadiriwa kua na USD milion 8 tuu. Hope umepata tofauti hapo.
 
Nawashukuru wakuu kwa michango yenu
 
Koffi amemzidi Werrason kipesa na kimziki pia, hilo halina ubishi
 
Koffie ni nouma mkuu,kitambo katika game na album zake zinakimbiza sokoni...
 
hao wote hamna lolote,labda kifedha,lakini kwenye kudeliver mamessages huwa namkubali Mbillia bel
 
Koffie olomide ni kibokoooooo yaoooo acha kabisaaaaa halinganishwiiii yuleeee jamaaaa
Jamaa ni nyoooookoooooo a.k.a matusiiiii weee
 
Le Grande Papaa Fololo Mukulukulu Antoine Christophe Agbepa Mumba Koffi Olomide (Quadra Kora Man) Mutu Shilingi ni Senior
 
unamkosea
heshima koffi olomide si wa kumlinganisha na werason yule
unamlinganisha na watu kama marehemu madilu a.k.a mult system, papa wemba n.k
 
lakini mkuu p-square si jamaa wawili hawa?

Kwa walivyojipambanua unasema ni kama mtu mmoja, Peter na Paul wako pamoja. Na hiyo rank ilivyowekwa ni: Namba 1. P*P
Namba 2. Koffi( Siyo Quarter Latin Internationale- Kundi la Koffi: Wajuz waweke sawa Spelling za kundi maana mimi nimebase sana English, kwa mbali French).
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…