Kati ya land manangement na geomatics kozi ipi yenye nafasi nzuri kwenye ajira ?

young_mesult

Senior Member
Joined
Oct 11, 2012
Posts
133
Reaction score
35
Habari zenu wapendwa...

Ni hivi kati ya land manangement na geomatics ipi ni kozi nzuri zaidi..zote zinatolewa ardhi zote miaka 4 zote ni priority katika mikopo...naomba kujuaa ipi ni nzuri zaidi katika soko la ajira bongo kuanziaa kujiajiri mpaka kuajiriwa...

msaada wenu kwa hili please!
 
Sijajua competition mwka huu ikoje. Ila Geomatics poa, na uwe na msuli wa kutosha wa Physics na Maths!! Huchelewi kurudi home mwaka wa kwanza tu!

haha sawa asante sana kaka
 
PCM mkuu nina 3-11 CBC

Usiogope,kwa hizo pass zako unapata hio geomatics vizuri sana,Mimi nasoma hio na kuna rafk Yang ana EES amechukuliwa,LMV ni nzur sana pia but chai ni nyingi so kwa PCM lazima upate tabu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…