LGE2024 Kati ya makosa ambayo CHADEMA hampaswi kufanya ni kujiondoa kwenye uchaguzi huu wa serikali za mitaa na uchaguzi Mkuu wa 2025

LGE2024 Kati ya makosa ambayo CHADEMA hampaswi kufanya ni kujiondoa kwenye uchaguzi huu wa serikali za mitaa na uchaguzi Mkuu wa 2025

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Bando la wiki

JF-Expert Member
Joined
May 23, 2023
Posts
911
Reaction score
3,017
CCM hawana jambo dogo, nyinyi mnajitoa wao na vyama vingine wanashiriki uchafuzi huo. Kwa kuwa vyama vingine hivyo havina nguvu ya kupambana CCM vinajikuta vimesaidia ccm kuingia madarakani kirahisi sana.

Figisu hizi zinazofanywa sasa na watendaji wa mitaa ambao ndiyo wasimamizi wa uchaguzi lengo ni kupima imani ya chadema ili ijitoe kwenye uchaguzi na ccm lengo lake litimie kwa kushinda kwa kishindo. Katu hilo lisiluhusiwe.

Viongozi wa chadema walioenguliwa kwenye mchakato wakate rufaa hata kwa kulala kwenye ofisi za watendaji mpaka majina yao yarudishwe kwenye kichang'anyiro cha uchaguzi.

Mabadiliko nchi hii yatakuja endapo wananchi kwa umoja wao watasimama kupinga udhalimu unaopagwa na serikali na chama dhalimu.
Kwa hiyo chonde chonde viongozi wa chadema msijitoe kwenye uchaguzi wowote ila makosa yatakayopagwa na ccm yatakutana na moto wa wananchi kuanzia kwenye kampeni kwa sababu raia walishachoshwa na serikali hii hivyo kila mtu anatafuta panapovuja ili kupitia hapo kurudisha heshima na haki nchi hii.
 
CCM hawana jambo dogo, nyinyi mnajitoa wao na vyama vingine wanashiriki uchafuzi huo. Kwa kuwa vyama vingine hivyo havina nguvu ya kupambana CCM vinajikuta vimesaidia ccm kuingia madarakani kirahisi sana.

Vigisu hizi zinazofanywa sasa na watendaji wa mitaa ambao ndiyo wasimamizi wa uchaguzi lengo ni kupima imani ya chadema ili ijitoe kwenye uchaguzi na ccm lengo lake litimie kwa kushinda kwa kishindo. Katu hilo lisiluhusiwe.

Viongozi wa chadema walioenguliwa kwenye mchakato wakate rufaa hata kwa kulala kwenye ofisi za watendaji mpaka majina yao yarudishwe kwenye kichang'anyiro cha uchaguzi.

Mabadiliko nchi hii yatakuja endapo wananchi kwa umoja wao watasimama kupinga udhalimu unaopagwa na serikali na chama dhalimu.
Kwa hiyo chonde chonde viongozi wa chadema msijitoe kwenye uchaguzi wowote ila makosa yatakayopagwa na ccm yatakutana na moto wa wananchi kuanzia kwenye kampeni kwa sababu raia walishachoshwa na serikali hii hivyo kila mtu anatafuta panapovuja ili kupitia hapo kurudisha heshima na haki nchi hii.
Gentleman,
hakuna athari zozote za kisiasa, kisheria wala kikatiba ikiwa chadema au chama kingine wataamua hivyo.

kumbuka Uchaguzi wa serikali za mitaa na vijiji ni Nov 27🐒
 
Gentleman,
hakuna athari zozote za kisiasa, kisheria wala kikatiba ikiwa chadema au chama kingine wataamua hivyo.

kumbuka Uchaguzi wa serikali za mitaa na vijiji ni Nov 27🐒
CCM mwaka huu na mwakani mtakabwa hadi penalti hakutakuwa na pakupumulia🪚🪚
 
CCM mwaka huu na mwakani mtakabwa hadi penalti hakutakuwa na pakupumulia🪚🪚
Okay sawa gentleman, ni muhimu sana kuzingatia Sheria vigezo na masharti ya kikatiba kuomba uongozi.

hata hivyo,
usisahau uchaguzi wa serikali za mitaa na vijijini ni Nov 27🐒
 
What's the difference wawepo au wasiwepo
 
Back
Top Bottom