Kati ya Manispaa ya Kahama na Manispaa ya Mpanda na Nzega TC wapi pazuri kuishi kutafuta maisha?

Kati ya Manispaa ya Kahama na Manispaa ya Mpanda na Nzega TC wapi pazuri kuishi kutafuta maisha?

Thee

Member
Joined
Sep 29, 2023
Posts
17
Reaction score
5
Mimi ni moja wa vijana wasaka tonge, Nina ndoto ya kufika mbali kiuchumi, nipo Singida, sasa natamani kuhamia Kati ya manispaa ya Mpanda au manispaa ya KAHAMA au NZEGA TC ,wenye uzoefu na Maeneo haya tafadhali KWA unyenyekevu mkubwa naombeni ushauri. Pamoja ya kuwa ni mwajiriwa pia najushughulisha na

1. Mazao ya Biashara (stoo)
2. Biashara ya Duka la Dawa
3.sometimes na Biashara ya Duka la kawaida.

Wapi patanifaa zaidi Kati ya KAHAMA MC, MPANDA MC, NZEGA TC
 
Mimi ni moja wa vijana wasaka tonge, Nina ndoto ya kufika mbali kiuchumi, nipo Singida, sasa natamani kuhamia Kati ya manispaa ya Mpanda au manispaa ya KAHAMA au NZEGA TC ,wenye uzoefu na Maeneo haya tafadhali KWA unyenyekevu mkubwa naombeni ushauri. Pamoja ya kuwa ni mwajiriwa pia najushughulisha na

1. Mazao ya Biashara (stoo)
2. Biashara ya Duka la Dawa
3.sometimes na Biashara ya Duka la kawaida.

Wapi patanifaa zaidi Kati ya KAHAMA MC, MPANDA MC, NZEGA TC
Elezea zaidi target yako
 
Mimi ni moja wa vijana wasaka tonge, Nina ndoto ya kufika mbali kiuchumi, nipo Singida, sasa natamani kuhamia Kati ya manispaa ya Mpanda au manispaa ya KAHAMA au NZEGA TC ,wenye uzoefu na Maeneo haya tafadhali KWA unyenyekevu mkubwa naombeni ushauri. Pamoja ya kuwa ni mwajiriwa pia najushughulisha na

1. Mazao ya Biashara (stoo)
2. Biashara ya Duka la Dawa
3.sometimes na Biashara ya Duka la kawaida.

Wapi patanifaa zaidi Kati ya KAHAMA MC, MPANDA MC, NZEGA TC
Kwa biashara hizo nenda Nzega
 
Nahitaji ushaur wenu wakuu ,bado nasubir Kati KAHAMA MC,MPANDA MC,NZEGA TC wapi Pako na Mzunguko wa pesa
 
Mpanda, labda ukakusanye mahindi na mipunga huko kakese na Tanganyika
 
Elezea zaidi target yako
Target zaidi natamani Biashara ya mazao na Biashara ya za mishe mishe yenye Mzunguko wa pesa, sehemu yenye GHARAMA ndogo ya maisha
 
Mpanda patakufaa kama ni mazao nenda maeneo ya mnyagala,kuna senta inaitwa senta mesha kusanya mpunga na mahindi unaketa Kona mnyagala kuna stoo na mashine za kukoboa nyingi alafu ni barabarani kutoka ziwani karema na ikola kuja mpanda hivyo ikifika masika huna wasiwasi kusafirisha mzigo wako popote upendapo.swali lolote kuhusu katavi nzima niulize upate ramani ya huko
 
Mpanda patakufaa kama ni mazao nenda maeneo ya mnyagala,kuna senta inaitwa senta mesha kusanya mpunga na mahindi unaketa Kona mnyagala kuna stoo na mashine za kukoboa nyingi alafu ni barabarani kutoka ziwani karema na ikola kuja mpanda hivyo ikifika masika huna wasiwasi kusafirisha mzigo wako popote upendapo.swali lolote kuhusu katavi nzima niulize upate ramani ya huko
Usijali kabisa nitakutafuta kwa taarifa zaidi
 
Mpanda patakufaa kama ni mazao nenda maeneo ya mnyagala,kuna senta inaitwa senta mesha kusanya mpunga na mahindi unaketa Kona mnyagala kuna stoo na mashine za kukoboa nyingi alafu ni barabarani kutoka ziwani karema na ikola kuja mpanda hivyo ikifika masika huna wasiwasi kusafirisha mzigo wako popote upendapo.swali lolote kuhusu katavi nzima niulize upate ramani ya huko
Kipindi gani kinakua cha mavuno ambapo mazao yanakua bei nzuri uko?
 
Kama ni maharage na karanga ni mwezi wa nne baada ya mvua kukata hayo ndo mazao ya kwanza,kuanzia mwezi wa tano ni mwezi wa mahindi bei ni ndogo mno,alafu upimaji ni kwenye ndoo za lita kumi 2 ndio debe sasa utakuta gunia lina debe saba,na mwezi huo huo ndo mpunga wanauita wahiwahi unaanza kuvunwa ila huo ni vvyema unauchukuwa kwa ajiri ya stoo maana michele wake hauna bei sokoni ila unauuza mwezi wa kumi ambapo hakuna uchaguzi wa michele sokoni kwa bei sawa na mbegu nyingine za michele kwa faida kubwa,mwezi wa sita ndo msimu wa mavuno kwa ujumla bei huwa wastani.
 
Mpanda patakufaa kama ni mazao nenda maeneo ya mnyagala,kuna senta inaitwa senta mesha kusanya mpunga na mahindi unaketa Kona mnyagala kuna stoo na mashine za kukoboa nyingi alafu ni barabarani kutoka ziwani karema na ikola kuja mpanda hivyo ikifika masika huna wasiwasi kusafirisha mzigo wako popote upendapo.swali lolote kuhusu katavi nzima niulize upate ramani ya huko
Hapo mpanda mjini vyumba vya kupanga ni bei gan?
 
Back
Top Bottom