Nimekuwa nikisikia kwa watu tofauti kwamba kati ya mapacha lazima kuna moja ana mapungufu(hawawezi wakawa sawa wote),sina uhakika wa hii ila nimesikia tu.
Je kuna ukweli wowote?
Upungufu wa nini? Mimi sijaona, ni mmoja Kati ya mapacha. Tumekuwa Na akili, mawazo, hisia vinavyofanana viungo vya mwili vyote sawa, japo tumekuwa Na tofauti kidogo za hapa Na pale. Labda useme ni upungufu gani.
Kila mwanadamu awaye yule ana mapungufu yake.
Kwani mapacha si watu kama Mi na wewe tu?
Mapungufu walionao ni kama hii ya kwako ya kurusha thread kama hii ambayo ina mapungufu makubwa.
Nimekuwa nikisikia kwa watu tofauti kwamba kati ya mapacha lazima kuna moja ana mapungufu(hawawezi wakawa sawa wote),sina uhakika wa hii ila nimesikia tu.
Je kuna ukweli wowote?