Kati ya Marekani na China, wapi ni bora kifursa?

Kati ya Marekani na China, wapi ni bora kifursa?

PathwayzZote

Member
Joined
Jul 4, 2024
Posts
65
Reaction score
85
Ok wana jamvi twende kazi

KATI YA MAREKANI NA CHINA

Naona hapa nchi zote hizo zina moto yani 🔥🔥🔥
Haya wataalamu wa uchumi na kujitafuta na pia wale waliofika au wanaishi katika izo nchi tajwa apo juu
Mtuchane ukweli
Ni nchi gani hapo kwa wale wanaopenda au wanaopata michongo ya kwenda kujitafuta kiamokoto katika nchi hizo
Itakuwa inasapoti sana kupata opportunities

Inshort unamshauri kijana aende wapi akafate fursa za pesa au dola au faranga au hela au shilling
 

Attachments

  • pexels-media-2224861.jpeg
    pexels-media-2224861.jpeg
    704.9 KB · Views: 2
  • pexels-media-1366957.jpeg
    pexels-media-1366957.jpeg
    126.3 KB · Views: 2
Ok wana jamvi twende kazi

KATI YA MAREKANI NA CHINA

Naona hapa nchi zote hizo zina moto yani 🔥🔥🔥
Haya wataalamu wa uchumi na kujitafuta na pia wale waliofika au wanaishi katika izo nchi tajwa apo juu
Mtuchane ukweli
Ni nchi gani hapo kwa wale wanaopenda au wanaopata michongo ya kwenda kujitafuta kiamokoto katika nchi hizo
Itakuwa inasapoti sana kupata opportunities

Inshort unamshauri kijana aende wapi akafate fursa za pesa au dola au faranga au hela au shilling
Inategemea levo yako mzee na aina ya fursa unayotaka
 
USA kama unao mtaji au ukikusanya mtaji kwa kubeba box zipo fursa nyingi unaweza ingiza kipato mfano kilimo cha mbogamboga kwenye green house au kutoa mifugo hasa kondoo Toka kwa wafugaji upcountry kibongo mikoani na kuleta miji mikubwa eg California, New York nk au kumiliki biashara za uber au transportation au kumiliki kampuni za Caregiver kuhudumia watu wenye uhitaji maalumu.
 
Uchinani ni wewe kwenda ukachukue bidhaa uje kupiga pesa bongo ila siyo sehemu pa wewe kwenda kutafuta fursa

Wachina wenyewe hizo fursa haziwatoshei na ndiyo maana wamezagaa duniani ka wakimbizi utapata wapi fursa kwao
 
USA kama unao mtaji au ukikusanya mtaji kwa kubeba box zipo fursa nyingi unaweza ingiza kipato mfano kilimo cha mbogamboga kwenye green house au kutoa mifugo hasa kondoo Toka kwa wafugaji upcountry kibongo mikoani na kuleta miji mikubwa eg California, New York nk au kumiliki biashara za uber au transportation au kumiliki kampuni za Caregiver kuhudumia watu wenye uhitaji maalumu.
Noted
 
Uchinani ni wewe kwenda ukachukue bidhaa uje kupiga pesa bongo ila siyo sehemu pa wewe kwenda kutafuta fursa

Wachina wenyewe hizo fursa haziwatoshei na ndiyo maana wamezagaa duniani ka wakimbizi utapata wapi fursa kwao
Wapo had njombe vijijin uko
 
Huwezi kwenda ukapata kazi au biashara ya maana China, Marekani ina fursa nyingi za kazi unazoweza kufanya nchini mwao. Pia suala lingine sio rahisi mbongo kuishi kwenye utamaduni wa China. Mengine muulize Xi Jinping
 
Back
Top Bottom