Israel anawalia timing tuHapa rais wa nchi ya Iran Masoud Pezeshkian kaketi chini Ali Khamenei akiwa amepozi juu ya kiti.
Ki itifaki wenzetu yupi ni kiongozi wa mwenzake hapo.
View attachment 3059163View attachment 3059164
Ndio Mkuu.Kwa maneno mengine Iran ni " Theocracy". Dini ndio inayotawala na kuongoza nchi.
Amandla...
Iran kutatimka pundeIran kuwa raisi ni cheo ila Ayatollah ndiye mtawala.
Sawa na Israel & Germany
Upinde HouseWahuni tu hao bwashee!
Viongozi wa nchi wanapatikana katika huu mjengo hapa chini πππ
View attachment 3059255
View attachment 3059270
WHITE HOUSE πΊπΈ
Hapa rais wa nchi ya Iran Masoud Pezeshkian kaketi chini Ali Khamenei akiwa amepozi juu ya kiti.
Ki itifaki wenzetu yupi ni kiongozi wa mwenzake hapo.
View attachment 3059163View attachment 3059164
Iran ni nchi ya kipuuzi, Inaongozwa na kiongozi wa dini
humo mwanamke haruhusiwi hata kukatizaAisee nimependa wana adabu ya hali ya juu sana
lakini hayati ibrahim rais alionekana kua na power kuliko khomeneiHata picha huon mkuu
Wanatia tia huruma haoo na Yahudi alivyo mshenzi anaweza kulivurumisha kombora hapo hapo kilemba kulee miwani hukoooo kichogo hakitamanikiHapa rais wa nchi ya Iran Masoud Pezeshkian kaketi chini Ali Khamenei akiwa amepozi juu ya kiti.
Ki itifaki wenzetu yupi ni kiongozi wa mwenzake hapo.
View attachment 3059163View attachment 3059164