Kumbuka Mayele ni mgeni wa Ligi, hana hata mechi 10Ukitumia takwimu za ligi yetu Kagere ni bora kumpita huyu mkongo.Moja, Kagere kawa mfungaji bora katika ligi yetu kwa season mbili,pia ameweza kuscore 10 plus goals misimu mitatu kitu ambacho haijafahamika kama mkongo ataweza
Mwisho kabisa Kagere ana goals nne mpaka sasa wakati huyu mkongo ndo kwanza anajitafuta katika ligi.Anyway,Kagere is the best striker of all time in TPL,VPL and NPL.
Yap! ndio maana nikasema bado ana kazi kubwa kuprove kwamba yeye ni boraKumbuka Mayele ni mgeni wa Ligi, hana hata mechi 10
Huyo mayele ni makalio tuKumbuka Mayele ni mgeni wa Ligi, hana hata mechi 10
Kinacho mpa credit kubwa striker Ni takwimu zakeKati ya mayele na kagere
Una fikiri nani anatisha zaidi?
For me mayele
cause hata asipo funga anaweza kukuzuru pia to get Red card. yellow card or and penalty
Ni msumbufu saana kumchunga ina itaji akili saana
Kitu ambacho sikihonagi kwa kagere
Ayo ni maoni yangu Unaweza towa ya kwako pia Bila kutukana
View attachment 2032629
kukuzuru... KUKUDHURU.Kati ya mayele na kagere
Una fikiri nani anatisha zaidi?
For me mayele
cause hata asipo funga anaweza kukuzuru pia to get Red card. yellow card or and penalty
Ni msumbufu saana kumchunga ina itaji akili saana
Kitu ambacho sikihonagi kwa kagere
Ayo ni maoni yangu Unaweza towa ya kwako pia Bila kutukana
View attachment 2032629
Una mihemko ndugu. Kagere anameshazoea ligi yetu.Ukitumia takwimu za ligi yetu Kagere ni bora kumpita huyu mkongo.Moja, Kagere kawa mfungaji bora katika ligi yetu kwa season mbili,pia ameweza kuscore 10 plus goals misimu mitatu kitu ambacho haijafahamika kama mkongo ataweza
Mwisho kabisa Kagere ana goals nne mpaka sasa wakati huyu mkongo ndo kwanza anajitafuta katika ligi.Anyway,Kagere is the best striker of all time in TPL,VPL and NPL.
Kwa mechi chache zilizopita kwa mwenye akili timamu atajua mayele ni kifaaYap! ndio maana nikasema bado ana kazi kubwa kuprove kwamba yeye ni bora
Sasa mkilijua hilo mnaanzaje kumfananisha na mtu ambae amekuwa mfungaji bora kwa misimu miwili ndani ya misimu mitatu! Tatizo la mashabiki wa yanga siku zote ni kujilinganisha na simba kwa jambo lolote na hata ndoto zao msimu mzima wao wanafikria kumfunga simba tu,,Kumbuka Mayele ni mgeni wa Ligi, hana hata mechi 10
Unawaza kimihemkoSasa mkilijua hilo mnaanzaje kumfananisha na mtu ambae amekuwa mfungaji bora kwa misimu miwili ndani ya misimu mitatu! Tatizo la mashabiki wa yanga siku zote ni kujilinganisha na simba kwa jambo lolote na hata ndoto zao msimu mzima wao wanafikria kumfunga simba tu,,