daneyodry
JF-Expert Member
- Aug 1, 2017
- 350
- 227
habarini wapendwa ..natumaini mu wazima wote.
Siku itakapotokea serikali ya Marekani ikakupa bilioni 15 za fedha ,halafu wakakuambia chagua;
1. Uwape kwanza vyeti vyako vyote kuanzia shule ya msingi hadi chuo wavichome moto
2. Utoke nchini Tz na usirudi kamwe
Mimi binafsi ningebaki na vyeti vyangu[emoji4] [emoji41]
Wewe ungechagua nini?
Sent using Jamii Forums mobile app
Siku itakapotokea serikali ya Marekani ikakupa bilioni 15 za fedha ,halafu wakakuambia chagua;
1. Uwape kwanza vyeti vyako vyote kuanzia shule ya msingi hadi chuo wavichome moto
2. Utoke nchini Tz na usirudi kamwe
Mimi binafsi ningebaki na vyeti vyangu[emoji4] [emoji41]
Wewe ungechagua nini?
Sent using Jamii Forums mobile app