ndio utakua katka uzur wako[emoji13] [emoji2]Hahahaha kama sina vyeti sasa??
[emoji41] imagine lknHakuna mifano ya njaa inayoweza kutokea, tafuta shuka ulale
NABAKI BONGO TU
duh, bongo patamu kinoma aseeNABAKI BONGO TU
Kweli mkuu
[emoji38] [emoji38] [emoji38]Hakuna mifano ya njaa inayoweza kutokea, tafuta shuka ulale
mmmh...Nitawapa wavichome moto
Maana kuvipata tena ni rahisi sana kutoka NECTA,Chuo husika..
[emoji13] [emoji13] [emoji2] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji2] [emoji13] mkuu kwa kweli!!!!?Lakini ubongo upo sawa na material sawa. Choma vyeti nitumie ubongo uliojaa mali ghafi niizalishe hiyo bilioni 15 chapchap maisha yanasonga. Ujue kwamba naongea kisomi, natembea kisomi, naishi kisomi ila tu vyeti vilichomwa moto. Elimu ni ufunguo wa maisha, funguo ninazo vyeti vimechomwa moto. Potelea mbali mzungu choma vyeti nipe 15 b
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji15] humu kumbe wamoKwani hawa watoto wa shule bado tuki nao humu ?hawajaitwa kwenye selection zao tu?
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]Hakuna mifano ya njaa inayoweza kutokea, tafuta shuka ulale