kwa nn unasema mpwapwa kuna faidaIla ukitaka ulime kwa faida Lima Mpwapwa
Ndugu tuwasiliane nnashida na wewe. +255657273095. WhtspManyara kuko fresh mkuu,Mimi mwenyewe niko Manyara alizeti inafanya vyema.
Kuhusu mbegu kuna mbegu mbali mbali mkuu kuna ya Tsh 40,000/ kwa kg moja na inasambazwa na BYTRADE.
Manyara kuko fresh mkuu,Mimi mwenyewe niko Manyara alizeti inafanya vyema.
Kuhusu mbegu kuna mbegu mbali mbali mkuu kuna ya Tsh 40,000/ kwa kg moja na inasambazwa na BYTRADE.