kati ya mwanamke na mwanaume nani anaionea wivu jinsia ya mwenzake?

Kila mtu na chake, so mwamba ngozi huvutia kwake
 

I think you are both right, since I hear more stories about M2F transexuals than F2M

Tena nilisahau, mnapendezaga mkisuka nywele!
niambie saluni ipi nzuri, nataka nisuke kama avatar ya kaka flani stamtaja kuepuka shari lol.
 

hebu kuwa mkweli bana! Unajua kwa nn wanawake wengi mnavaa mavazi ya kiume! Psychologically you're not satisfied with what you're. You wish you were males! So sorry!
 
Naona Mnajidanganya nyie wote, Mwanamke ni mtawaliwa haswa ndani ya nyumba hata kama ana kila kitu bado inambidi amtii mumewe tuuuuuuuuuuuuuuuuu. Sijui nyinyi ila mimi Najivunia uanaume wangu na Kamwe siwezi hata tamani kuwa demu. Yaaaakkk! Yaani mimi Demu!!!! Hata kufikiria sifikirii. Na wala sitaki. Dume gani linapenda liwe na sikuzake kila mwezi humu embu ajitokeze hata mmoja.
 
@nyuli mbona umeweka mada ukakimbia? uwezekano wa wanaume kutamani uanamke ndio % kubwa

BOFYA


aa mm naringia uDUME wangu
 
Sitaki hata wadada wajue mi ka mwanaume wa kweli napata raha gani kuwa mwanaume, MUNGU ALIMUUMBA MWANAUME AMTAWALE MWANAMKE hii ni nukuu kutoka vitabu vya MUNGU, na siku zote mtawaliwa hutamani kuwa mtawala, hadi hapo nadhani mmenipata
 

I like this
 
Sitaki kila mwezi niwe navunja mayai jamani, mara mipedi kibao wakati mi nimezoea hata nispovaa kufuli ni mwendo mdundo, halafu ukichunguza kibailojia mwanamke ni mchafu kuliko mwanaume
 
Hizi laana sasa,yaani mwanadamu kutaka kutengua maamuzi ya MUNGU,huko mm sipo wakuu.
 
am a man,when i wake up i thank God first for creating me a man na second kwa kunipa uhai,am also praud to be a man
kuhusu hao mapunga inasemekana wengi wao ni mapunga kwa sabau zifuatazo
  1. gene mutation ambayo inafanya wengine wazaliwe na hormone za kike
  2. influence of family:kwa wanaozaliwa kwenye familia ambazo wenyewe ni watoto wakiume wa pekeee much influence ya life style inatokana na wanaokuzunguka
conclusion:for the egg to hatch there are two factors internal factors(fertility of the egg) and external factor(right temperature) and internal factors are primary
so kuingiliwa,kuwa raised in female majority family all are external factors primary factor ni kuwa hawa they were born that way!
only less than 1% of gays were born straight men!
 

Mh wanawake ndio wana kazi kuliko wanaume nikifikiria kuzaa... Kushika mimba bado hujaachia mambo mengine ya wanawake ambayo mi nisingeyaweza i dont think i would wish to be a woman.. Kuna wanawake wananiambiaga kua wana hamu wangekua wanaume coz kua mwanamke ni shuhuli bt mwisho wa siku ulivozaliwa ndio hivyo u cant change it and u have to get on with it
 
Ninajisikia raha sana ninapokuwa juu na ninapoingiza nanii ndani ya nanii na kukamulia ndani humohumo kwenye nanii. Asante Mungu kwa kunipa uwezo huo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…