Kati ya mwanaume na mwanamke .

Kati ya mwanaume na mwanamke .

BaloziWaMitaa

Member
Joined
Aug 14, 2017
Posts
13
Reaction score
36
Wadau mambo vipi,eti kati ya mwanaume na mwanamke ni nani ambaye akiwa uchi mbele ya umati wa watu anapendeza kwa muonekano wa kila kitu?,yaani kiasi aibu ya mmojawapo inaweza kuwa ndogo kuliko mwenzie.
 

Attachments

  • a3295a6878dd8e760f2df3b9e28eb4c5--black-love-couples-black-magic-woman.jpg
    a3295a6878dd8e760f2df3b9e28eb4c5--black-love-couples-black-magic-woman.jpg
    14 KB · Views: 92
Kila mmoja atapendeza ktk jinsia tofauti.
Mi nikiona manzi yuko mtupu hali itakuwa arijojo
 
Mnyama peke yake ndiyo hukaa uchi na hakuna shida...

Ila binadamu awe wa kike au kiume ukiwa u.chi ni hatari...


Cc: mahondaw
Bila shaka hata tukifikia hatua hiyo ya kukaa ,kushinda na kutembea uchi may be inaweza isiwe na tatizo saana,maana itakuwa kama tumerejea kwenye asili yetu.
 
Mwanamke ndo atapendeza....... Wanaume na vile vitu vinaning'inia [emoji23]........ Naonaga aibu hata nkimuangalia m'y man
 
Mwanamke ndo atapendeza,ila asiwe na kitambi kabisa, awe flat. La sivo mwanaume lazima ashinde
 
Mwanamke ndo atapendeza....... Wanaume na vile vitu vinaning'inia [emoji23]........ Naonaga aibu hata nkimuangalia m'y man
Ongeza kanyama kiasi basi sijakuelewa. Eti unaonaga aibu vitu vikining'inia? Hehehehe 😀 Jf buana.
 
Back
Top Bottom