BaloziWaMitaa
Member
- Aug 14, 2017
- 13
- 36
Wadau mambo vipi,eti kati ya mwanaume na mwanamke ni nani ambaye akiwa uchi mbele ya umati wa watu anapendeza kwa muonekano wa kila kitu?,yaani kiasi aibu ya mmojawapo inaweza kuwa ndogo kuliko mwenzie.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu Kwani tatizo ni duduz tu au ni pamoja na vingine?,walau umeanza kunipa mwanga lakini.Wanawake dudu yao hata huwa haionekani wakisimama wima!
Bila shaka hata tukifikia hatua hiyo ya kukaa ,kushinda na kutembea uchi may be inaweza isiwe na tatizo saana,maana itakuwa kama tumerejea kwenye asili yetu.Mnyama peke yake ndiyo hukaa uchi na hakuna shida...
Ila binadamu awe wa kike au kiume ukiwa u.chi ni hatari...
Cc: mahondaw
Ongeza kanyama kiasi basi sijakuelewa. Eti unaonaga aibu vitu vikining'inia? Hehehehe 😀 Jf buana.Mwanamke ndo atapendeza....... Wanaume na vile vitu vinaning'inia [emoji23]........ Naonaga aibu hata nkimuangalia m'y man