junky
JF-Expert Member
- May 11, 2017
- 413
- 978
Bila ya shaka kila mtu anaufahamu uwezo wa hawa Beki nguli Nadir Haroub cannavaro aliyehudumu timu ya taifa kwa muda mrefu na klabu ya yanga pamoja na Beki machachali Kelvin Yondani Vidic
Nataka nitambue leo yupi anafaa ,anastahiki kuwa beki bora wa muda wote Tanzania kati ya hawa.
1.Nadir Haroub "Cannavaro"
2.Kelvin Yondani "Vidic"
3.Victor Costa "Nyumba"
Nataka nitambue leo yupi anafaa ,anastahiki kuwa beki bora wa muda wote Tanzania kati ya hawa.
1.Nadir Haroub "Cannavaro"
2.Kelvin Yondani "Vidic"
3.Victor Costa "Nyumba"