mwanyaluke
JF-Expert Member
- Jan 22, 2015
- 704
- 2,435
Kwa waliowahi kufuga nguruwe na ngombe kipi kinalipa?
Kwa mazingira niliyokuwepo ngombe ni biashara sana, yaani maziwa sipati hela ya maendeleo, lita tsh 700 kwa maeneo niliyokuwepo na kupata breed yenye maziwa mengi imekuwa mtihani.
Nakubali ngombe analipa sababu napata samadi ambayo naitumia shambani kwenye parachichi nk na pia ninapouza napata hela nzuri, nguruwe kwangu wanatoa samadi kidogo kiasi kwamba haitoshelezi mashamba.
Bei za nguruwe ni ndogo, ila naiona faida ninapouza watoto wa nguruwe.
Je, huko uliko kipi kinalipa?
Kwa mazingira niliyokuwepo ngombe ni biashara sana, yaani maziwa sipati hela ya maendeleo, lita tsh 700 kwa maeneo niliyokuwepo na kupata breed yenye maziwa mengi imekuwa mtihani.
Nakubali ngombe analipa sababu napata samadi ambayo naitumia shambani kwenye parachichi nk na pia ninapouza napata hela nzuri, nguruwe kwangu wanatoa samadi kidogo kiasi kwamba haitoshelezi mashamba.
Bei za nguruwe ni ndogo, ila naiona faida ninapouza watoto wa nguruwe.
Je, huko uliko kipi kinalipa?