Ukwaju
JF-Expert Member
- Oct 19, 2010
- 13,383
- 11,197
Mabingwa niamulieni,
kuna gari mbili Noah na Harrier zote nimeahidiwa kuuziwa kila moja kwa 10,000,000/=
Nina familia ya watoto watatu na Mama yao
kwa ajili ya safari za mbali na za mjini km kupeleka watoto shule na mm kazi zangu za kulangua ni gari ipi nzuri kabla sijauuza huu mkweche wangu
Nachanganyikiwa kuhusu gari hizi mbili na zote ni toleo la 1990
nimeweka tu mfano wa hizi picha mwenye mali asingekubali
Harieri cc 2160 wanadai zina VVTi
Noah Liteace cc1990
kuna gari mbili Noah na Harrier zote nimeahidiwa kuuziwa kila moja kwa 10,000,000/=
Nina familia ya watoto watatu na Mama yao
kwa ajili ya safari za mbali na za mjini km kupeleka watoto shule na mm kazi zangu za kulangua ni gari ipi nzuri kabla sijauuza huu mkweche wangu
Nachanganyikiwa kuhusu gari hizi mbili na zote ni toleo la 1990
- ipi spea bei ya chini
- ulaji wa mafuta
- uhimili wa mikikimikiki
- ubebaji wa familia km nikiongeza na ka h/g
- heshima mtaani km mualiko au foleni
nimeweka tu mfano wa hizi picha mwenye mali asingekubali
Harieri cc 2160 wanadai zina VVTi
Noah Liteace cc1990