Kwa uelewa wangu wa hizi gari mbili binafsi nakushauri chukua toyota harier hii gari ni nzuri sana na inaheshima mtaani vilevile ni pana kwa hiyo hata upataji wake wa ajali mara nyingi sio sana ukilinganisha na noah,ulaji wa mafuta nahisi hautofautiani sana na noah 12km/L ukiwa hi-way na 8-9km/L ukiwa off high way.