Kati ya pikipiki TVS hlx 150x 5G na Haoujue TF 150 ipi ni pikipiki imara na nzuri kwa matumizi binafsi

M.jeff

Member
Joined
May 9, 2015
Posts
21
Reaction score
25
Wadau naomba ushauri kati ya hizo pikipiki mbili. Nahitaj kununua kwa matumiz binafasi sio boda boda.

Kw uelewa mdogo ni kwamba TVS ni pikpiki iliyotengenezwa na mhindi na Haojue ni Mchina.

Naomba ushauri ipi nichukue kama una uzoefu au hata elimu kidogo kuhusu pikipiki.

Tuzingatie pia
Matumiz yake ya mafuta
Spare
Service na
Uimara wa chombo
Asante.


 
Chukua tvs, kwangu ndio best na ni bora zaid kuliko haoujue. Ukipata 150 cc yenye 5 gear ndio nzuri zaidi hata kwenye route ndefu kidogo iko poa sana na kwenye speed ipo vizuri. Ila spear zake ziko juu kuliko haoujue ila ukifunga zinadum muda mrefu.
 
vipi mkuu ulichukua mashine ipi?
na mimi nilijichanga kiasi nataka nipate mashine kwenye mzunguko yang
 
Haojue kama ya kwenye picha hapo inacheza around bei gan
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…