Bird Watcher
JF-Expert Member
- Aug 19, 2013
- 3,151
- 6,261
@kiduku lilo hawezi nunua izo taka taka za Mjapani yeye gari zake ni za mwingereza na mmarekani Minyama kama Ford Ranger, GMC, Chevrolet, Land rovers, Rolly RoyceAkija kwenye huu uzi atabreakdown jinsi tulivyopoor na mawazo yetu na jinsi izo gari zilivyo za kimaskin mpaka utatamani uache hata kazi unayofanya ufanye mambo kama yake [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sent from my iPhone using JamiiForums
Mzuka ila so lazima ukomentmpiga kelele unajua hayo magari thamani yake???? au ulijua vi show vya mkata hivyo
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahah umenichekeshA sanampiga kelele unajua hayo magari thamani yake???? au ulijua vi show vya mkata hivyo
Sent using Jamii Forums mobile app
Asante kwa mchango wako ila music nafanya kama hobby tuWe jamaa acha mikwara,tafuta hela utangaze nyimbo zako kule youtube upate hela ya kauzu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Naunga mkono hoja.jamaa mbona unafananisha gari ya milion 20 na gari ya milion 100, yan prado tx ifanane na vx v8 ? jaman wanaoshauri uchukue Tx hawajui magari yan wanarahisisha tu yan engine ya tx iko poa kuliko ya landcruiser vx v8 kweli ? [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] watoto wengi sana humu
Sent from my iPhone using JamiiForums
Mbona alikuja humu JF akiomba ushauri grande mark 2 yake inagonga gonga?@kiduku lilo hawezi nunua izo taka taka za Mjapani yeye gari zake ni za mwingereza na mmarekani Minyama kama Ford Ranger, GMC, Chevrolet, Land rovers, Rolly Royce
Utoke 0 gari mpaka V8!! Never evakweli, anagari gani saivi ?
Sent from my iPhone using JamiiForums
@kiduku lilo hawezi nunua izo taka taka za Mjapani yeye gari zake ni za mwingereza na mmarekani Minyama kama Ford Ranger, GMC, Chevrolet, Land rovers, Rolly Royce
Mbona alikuja humu JF akiomba ushauri grande mark 2 yake inagonga gonga?
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahah yule chenga tu aliweka hio thread kipindi hicho alikua hajaanza kujimwambafy akasema gari inagonga chini ni grande mark 2 na yeye anaishi tabata anatafuta fundi wa pande hizo.[emoji1787][emoji1787][emoji1787] lini hiyo we si anasemaga hana izo takataka ???
Sent from my iPhone using JamiiForums
Prado haiwezi kuwa sawa na V8. V8 ni gari ya kazi haswa usibabaike na Prado hata iwe toleo la jana. Kelele za turbo Prado Tx yenye 1kd au 1Gd Wajapan wameweka mbwembe tu hiyo ni Light Duty Vehicle au gari nyanya.
Chukua Mnyama Land Cruiser V8 ukishindwa chukua hata Amazon au Lexus Cygnus.
Kuna tangazo sijui la Cassino gani wameweka zawadi ni Lexus L570 kwa mshindi. Acheze hata lottery hii kwenye Casino.🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 labda kashinda lottery 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 daaaaaah, me nashangaa anavyoruka step daaah
Sent from my iPhone using JamiiForums
Kuna tangazo sijui la Cassino gani wameweka zawadi ni Lexus L570 kwa mshindi. Acheze hata lottery hii kwenye Casino.
Kuna tangazo sijui la Cassino gani wameweka zawadi ni Lexus L570 kwa mshindi. Acheze hata lottery hii kwenye Casino.