Kati ya Robertinho na Chama ni nani aliyeingia Kwenye Mfumo wa Mwenzake?

Kati ya Robertinho na Chama ni nani aliyeingia Kwenye Mfumo wa Mwenzake?

G4rpolitics

JF-Expert Member
Joined
Jul 29, 2015
Posts
4,369
Reaction score
5,248
Ni kweli Chama amewaka kiasi na kulikuwa na ugomvi na kocha wake huko nyuma, sasa swali ni je, ni nani amenyanyua mkono na kufata mfumo wa mwenzake?
 
Chama kaingia kwenye mfumo wa kocha. Chama baada ya kunangwa na kocha kwamba yupo slow, Chama alianza kujibidiisha ili kuonesha hayupo slow. Na kweli, Chama akaanza kutokea pembeni huku akijaribu kwenda kwa spidi.

Pamoja na kwamba Chama anaonekana anatembea kwa kunesa lakini kiukweli kwa sasa anakimbia spidi japo siyo kali, lakini angalau.
 
Chama kuna muda hujui anacheza no ngapi.
Kati yupo ,pembeni,mara katokea chini huku yani hatuli
Pia speed saizi anayo bila kusahau ile mifinyo yake anayoadhibia wapinzani.

Asante robertinho asante chama ,sisi simba tunapata burudani
 
Robertinho hamna kocha pale, Mjanja mjanja tu, muda utaongea nipo pale nimeketi
 
Hata mifumo hatuhijui tunazungumza tusichokijua.

1. JIFUNZE kwenye mpira Kuna kitu KINAITWA Team work.

2: mifumo ya mpira ni 4:4:2, 4:2:3:1
3:5:1:1 Nk

Hizi Falsafa mara nyingi hutegemea na wachezaji.
KOCHA mpya anapoenda kwenye timu hatengenezi falsafa yake Bali anaangalia wachezaji waliopo ndipo aje na falsafa.

Unaposema mifumo mifumo Mimi nashindwa kuelewa!!!!!!?!
 
Hata mifumo hatuhijui tunazungumza tusichokijua.

1. JIFUNZE kwenye mpira Kuna kitu KINAITWA Team work.

2: mifumo ya mpira ni 4:4:2, 4:2:3:1
3:5:1:1 Nk

Hizi Falsafa mara nyingi hutegemea na wachezaji.
KOCHA mpya anapoenda kwenye timu hatengenezi falsafa yake Bali anaangalia wachezaji waliopo ndipo aje na falsafa.

Unaposema mifumo mifumo Mimi nashindwa kuelewa!!!!!!?!
Unaelewa vzri tunacho manisha make ugomvi wa Chama na kocha uliusikia
 
wamekutana katikati, kuna namna chama kabadilika kidogo lakini bado kuna mambo kocha kakubali aendelee nayo, kwahyo kamshape acheze kwa uwezo wake akini more direct hasa muda wa shambulizi.
 
wamekutana katikati, kuna namna chama kabadilika kidogo lakini bado kuna mambo kocha kakubali aendelee nayo, kwahyo kamshape acheze kwa uwezo wake akini more direct hasa muda wa shambulizi.
Siyo kwamba kocha ndo kakubali yaishe
 
Unaelewa vzri tunacho manisha make ugomvi wa Chama na kocha uliusikia

Jifunze kwanza kuandika vizuri.

Chama hajawahi kuwa na tofauti na KOCHA.

Kwani mchezaji akitolewa uwanjani ndio anatofauti na kocha au kutolewa uwanjani ni Ugomvi????????

Msijivue nguo kupitiliza
 
Jifunze kwanza kuandika vizuri.

Chama hajawahi kuwa na tofauti na KOCHA.

Kwani mchezaji akitolewa uwanjani ndio anatofauti na kocha au kutolewa uwanjani ni Ugomvi????????

Msijivue nguo kupitiliza
Nijifunze kuandika nini? Kipi nilichokosea kuandika?
 
Back
Top Bottom