Kati ya samsung J series na A series ipi nzuri?

Shukrani sana kwa elimu
 
Asante sana
 
Mkuuu umeandikaaa vitu More Sensitve Sana
 
Naomba unisaidie mkuu naona una ufahamu sana wa haya mambo.

Siwezi kufanya chochote kwenye internet bila kuwasha VPN. Mwanzoni nilikuwa nawasha tu data naendelea kawaida lkn ghafla tu simu imenigomea.

Shida itakuwa ni nini sasa?
 
Simu zenye plastic body na zenye MTK siku hizi hazinishawishi kabisa, huwa naumia simu kali ila plastic body.
 
What if zikiwa ivo unlocked mkuu maana kuna mtu kaniambia anataka anitumie kutokea njee
 
Ninakuhakilishia kila atakayesoma andiko hili hatajutia muda alioutumia kulisoma. Hongera sana. Kama ikiwezekana tulilipie tozo ya mshikamano[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ewaaaaaaa!!!! Thanks broh
 
assseeeee.. mkuu unakunywa soda gani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…