Kati ya Simba SC na CRDB Plc ni ipi inafaidika na udhamini?

Kati ya Simba SC na CRDB Plc ni ipi inafaidika na udhamini?

Brojust

JF-Expert Member
Joined
Sep 17, 2016
Posts
349
Reaction score
1,024
Salaam Big thinkers

Kwanza angalia hii picha vizuri kwenye nembo ya CRDB kwanini imewekwa BLACK

Screenshot_20241007_100856_Instagram.jpg


Then, watalamu wa Branding na marketing tusaidieni kujibu haya maswali.

1. Kwanini CRDB hajaweka green kama kawaida ameweka Black.

2. GSM na ukubwa wake wote still ameweka Black pia kwenye logo zao hadi katika jezi.

Je, siku hawa wadhamini wanaoteswa kubadilisha brand zao ili kuendana na huu utani wa jadi wakiamua kuwithdraw Sponsorship zao nani ataathirika. Katika hizi timu mbili.

Mwenye kujua umuhimu wa Branding aje kutupa somo je, Hii kitu huwa inafanyika pia kwenye mataifa ya wenzetu?

Nawasilisha.
 
CRDB wametaka kusikiliza zaidi kutoka kwa mteja wao ili kukamilisha lengo la kukamata soko husika(hii inafanywa sana na marketers wakorofi na wenye kiu ya kutimiza malengo.

But Trust Me CRDB wanaenda kufaidia zaidi katika hili maana wao watasemwa zaidi katika vinywa na watafikia ile hadhira wanayoitafuta.

Marketing ya bidhaa yoyote ile iliyobora na yenye ushawishi kwa wateja niile inayosikikia kuliko kutazamika.(pictorial advertisement).

CRDB itasemwa zaidi na mashabiki wa timu husika na zaidi ya hao na mvuto wake utakuwa mkubwa.

Ndo maana uwekezaji wa matangazo mengi ya kupitia redio kwa makampuni mengi makubwa uko juu sana na unamatokeo chanya.
 
Salaam Big thinkers

Kwanza angalia hii picha vizuri kwenye nembo ya CRDB kwanini imewekwa BLACK
View attachment 3117522

Then, watalamu wa Branding na marketing tusaidieni kujibu haya maswali.

1.. Kwanini CRDB hajaweka green kama kawaida ameweka Black.

2.GSM na ukubwa wake wote still ameweka Black pia kwenye logo zao hadi katika jezi.

Je, siku hawa wadhamini wanaoteswa kubadilisha brand zao ili kuendana na huu utani wa jadi wakiamua kuwithdraw Sponsorship zao nani ataathirika. Katika hizi timu mbili.

Mwenye kujua umuhimu wa Branding aje kutupa somo je, Hii kitu huwa inafanyika pia kwenye mataifa ya wenzetu ?

Nawasilisha.
Ujinga mkubwa unaokuwepo kwenye vichwa vya mashabiki ni kuhusisha rangi na timu. Ni kama vile timu fulani inamiliki rangi fulani. Rangi zipo tu na timu zipo tu. Rangi zilitangulia kuwepo ndipo zikaja timu. Mbona vyakula vyenye rangi hizo vinaliwa tu?
 
CRDB wametaka kusikiliza zaidi kutoka kwa mteja wao ili kukamilisha lengo la kukamata soko husika(hii inafanywa sana na marketers wakorofi na wenye kiu ya kutimiza malengo.

But Trust Me CRDB wanaenda kufaidia zaidi katika hili maana wao watasemwa zaidi katika vinywa na watafikia ile hadhira wanayoitafuta.

Marketing ya bidhaa yoyote ile iliyobora na yenye ushawishi kwa wateja niile inayosikikia kuliko kutazamika.(pictorial advertisement).

CRDB itasemwa zaidi na mashabiki wa timu husika na zaidi ya hao na mvuto wake utakuwa mkubwa.

Ndo maana uwekezaji wa matangazo mengi ya kupitia redio kwa makampuni mengi makubwa uko juu sana na unamatokeo chanya.
Ahsante sana Kaka umeeleza vema kabisa, kuna kitu umenifungua haswa kwenye brand inayotamkila sana, na wakati nasoma majibu yako kuna kitu kimekuja kichwani, kumbe ndio maana Pepsi inatamkika sana na ndio maana inauza sana kuliko Coca-Cola....
 
Ahsante sana Kaka umeeleza vema kabisa, kuna kitu umenifungua haswa kwenye brand inayotamkila sana, na wakati nasoma majibu yako kuna kitu kimekuja kichwani, kumbe ndio maana Pepsi inatamkika sana na ndio maana inauza sana kuliko Coca-Cola....
Sure Pepsi inasemwa mno kuliko Coca-Cola kuna muda hadi nawaonea huruma marketers wa Coca-Cola Tz.
 
maswali yako hayana hoja jiulize kwanza kati ya Simba na CRDB nani alianza kuwepo kabla ya mwenzie,Kati ya Simba na CRDB nani aliyemfata mwenzie na pia kabla ya CRDB kabla ya kuja simba hio timu ya Simba ilikuwa inaishije bila uwepo wa CRDB miaka mitano iliyopita..sasa pana haja gani ww kuuliza eti hao wadhamini wakijiondoa ni upande upi utaathirika.!
 
maswali yako hayana hoja jiulize kwanza kati ya Simba na CRDB nani alianza kuwepo kabla ya mwenzie,Kati ya Simba na CRDB nani aliyemfata mwenzie na pia kabla ya CRDB kabla ya kuja simba hio timu ya Simba ilikuwa inaishije bila uwepo wa CRDB miaka mitano iliyopita..sasa pana haja gani ww kuuliza eti hao wadhamini wakijiondoa ni upande upi utaathirika.!
Ahsante kwa kujibu vema, nimekuelewa boss
 
Salaam Big thinkers

Kwanza angalia hii picha vizuri kwenye nembo ya CRDB kwanini imewekwa BLACK

View attachment 3117522

Then, watalamu wa Branding na marketing tusaidieni kujibu haya maswali.

1. Kwanini CRDB hajaweka green kama kawaida ameweka Black.

2. GSM na ukubwa wake wote still ameweka Black pia kwenye logo zao hadi katika jezi.

Je, siku hawa wadhamini wanaoteswa kubadilisha brand zao ili kuendana na huu utani wa jadi wakiamua kuwithdraw Sponsorship zao nani ataathirika. Katika hizi timu mbili.

Mwenye kujua umuhimu wa Branding aje kutupa somo je, Hii kitu huwa inafanyika pia kwenye mataifa ya wenzetu?

Nawasilisha.
Ligi ya hovyo sana.
 
Ndugu mwandishi iko,ivi apa,kwa,Nyerere Simba,na,Yanga ni,zaidi,ya,timu yaani we,ata,utoke wapi,ukifika apa,utawasikiliza wao. yaani wanajionaga wapo,wawili tu,nchi,nzima.
 
Ujinga mkubwa unaokuwepo kwenye vichwa vya mashabiki ni kuhusisha rangi na timu. Ni kama vile timu fulani inamiliki rangi fulani. Rangi zipo tu na timu zipo tu. Rangi zilitangulia kuwepo ndipo zikaja timu. Mbona vyakula vyenye rangi hizo vinaliwa tu?
Mpaka yanga wakaitwa mbogamboga
 
CRDB wametaka kusikiliza zaidi kutoka kwa mteja wao ili kukamilisha lengo la kukamata soko husika(hii inafanywa sana na marketers wakorofi na wenye kiu ya kutimiza malengo.

But Trust Me CRDB wanaenda kufaidia zaidi katika hili maana wao watasemwa zaidi katika vinywa na watafikia ile hadhira wanayoitafuta.

Marketing ya bidhaa yoyote ile iliyobora na yenye ushawishi kwa wateja niile inayosikikia kuliko kutazamika.(pictorial advertisement).

CRDB itasemwa zaidi na mashabiki wa timu husika na zaidi ya hao na mvuto wake utakuwa mkubwa.

Ndo maana uwekezaji wa matangazo mengi ya kupitia redio kwa makampuni mengi makubwa uko juu sana na unamatokeo chanya.
Biashara ni watu inatakiwa waambiwe unafanya nini.

Business is people you have to tell them what you're doing

Unapotengeneza tangazo, (bango), linatakiwa limwambie mteja, nisome mimi nisome mimi Pia ninunue mimi ninunue mimi

Read me read me and buy me buy me
 
Back
Top Bottom