Nowo nowoWizkid ni habari nyingine kabisa
Wizkid sio davidojuelegba........
davido...
Ulikuwepo wakat anajipa hilo jina ?Jamaa alijiita WizKid kwasababu ya Wiz Khalifa, lakini ukimuuliza leo atakataa.
yani namaanisha hakuna nyimbo ya davido inayoingia hapo....Wizkid sio david
Kama umesoma engilish varities huwez kumshangaa.Davido ivii anaimba kiingereza kweli jaman....daaa huwa simwelewi kwa baadhi ya nyimbo kabisa mfano"ema dami duro ,emi olo baba lowo" moja kati ya verse zake kwenye nyimbo yake moja iviii
Okyani namaanisha hakuna nyimbo ya davido inayoingia hapo....
Achen fix za kuharibu nyuz za watuGigy money
Babu Tale
veeepeNowo nowo
akikujibu uniiteUlikuwepo wakat anajipa hilo jina ?
kunywa soda apoWiz kid ni mashine nyingine..huyo davido hakuna analojua
Nitakuita rafiki wala usijali.akikujibu uniite
runtown na ngoma ya mad over u + wallahDavido yupo poa zaidi.lakini ukiachia hao kuna vifaa wakali kinoma kama runtown
Nije nikunyweshe shem?runtown na ngoma ya mad over u + wallah
uweeee nazipenda kama nizikule ninyweee na soda
Si unipe kiss tu mamiikunywa soda apo