wan jf ninaomba michango yenu juu ya hilo la ubora wa hivyo vyuo hapo juu na sababu ya ubora wake il tukat mziz wa fitin
wan jf ninaomba michango yenu juu ya hilo la ubora wa hivyo vyuo hapo juu na sababu ya ubora wake il tukat mziz wa fitin
"....za kuambiwa changanya na zakwako"HOPE udsm is the best of all.!! Hata ukimuuliza mzee yeyote alioko kijijini kwenu swali kama hili bila kusita atakuambia ni "MLIMANI" So udsm is the best Followed by hurbert kahiruk then vingne vinafuata..kwa uthibitisho zaid nenda google then u search the best universty in africa.. Then utapata majibu
Mimi co mpumbavu wapumbavu ni nyie mnaona thread msioipenda alaf bado mnachangia acheni ukuda kama ni kutukana patawaka!
Nilisoma chuo kidogo sana hapa tz ila ktk interview kazi ya muda un nikapata ila baadhi ya madenti toka udsm ifm mzumbe nk nikawamwaga so chuo bora ni kichwa yko tu na si vinginevyo
HOPE udsm is the best of all.!! Hata ukimuuliza mzee yeyote alioko kijijini kwenu swali kama hili bila kusita atakuambia ni "MLIMANI" So udsm is the best Followed by hurbert kahiruk then vingne vinafuata..kwa uthibitisho zaid nenda google then u search the best universty in africa.. Then utapata majibu.
Tofautisha ukongwe wa chuo na ubora,watu wanafata coz co vyuo sababu hapo dsm hawatoi coz zote xo mtu anaaply chuo kingine ila co kuwa kafel.dsm inaingia mara mia kwa nairob university,johhanes unversty na timbuktu university kama unabisha tafuta matokeo ya yale mashindano ya zain utaona mzumbe iliipita dsm
HOPE udsm is the best of all.!! Hata ukimuuliza mzee yeyote alioko kijijini kwenu swali kama hili bila kusita atakuambia ni "MLIMANI" So udsm is the best Followed by hurbert kahiruk then vingne vinafuata..kwa uthibitisho zaid nenda google then u search the best universty in africa.. Then utapata majibu.
Tofautisha ukongwe wa chuo na ubora,watu wanafata coz co vyuo sababu hapo dsm hawatoi coz zote xo mtu anaaply chuo kingine ila co kuwa kafel.dsm inaingia mara mia kwa nairob university,johhanes unversty na timbuktu university kama unabisha tafuta matokeo ya yale mashindano ya zain utaona mzumbe iliipita dsm
wewe nae ni zoba kweli kama mwanzisha thread.yani,unapima chuo kwa kuangalia mashndano ya zain challenge.zain challenge ni kitu gan kwani zaidi ya kuropoka majibu tu ambayo maswali yake mlishapewa.jipange.
naona unanifuatilia natangaza vita dhidi yako,mpigamsuli v/s makamuzi na nitakushitak kwny jukwaa husika upigwe ban ala