KATI YA SUA,MZUMBE,MUCCOBs,UDSM,SAUTna UDSM KIPI CHUO BORA NA KWA SABABU GANI?

mpuuz wewe makamuzi ,kama ungekuwa mkubwa ungejibu koziyakula na kulala kwenye thread yangu nyingine ww kaa kimya tu ala
 
Mpigamsuli., je unaelewa vigezo vinavyotumika kutambua ubora wa chuo kwa nchi, kanda au kimataifa?
 
Ilitolewa complain hapa jamvini kwamba huyu dogo apigwe ban kwa thread zake za kipumbavu sijui kama mods wanalifanyia kazi hilo swala..
 
Nilisoma chuo kidogo sana hapa tz ila ktk interview kazi ya muda un nikapata ila baadhi ya madenti toka udsm ifm mzumbe nk nikawamwaga so chuo bora ni kichwa yko tu na si vinginevyo

Good dullah!
 
Ngoja nikupe mfano mdogo tu,
Harvard kinasemekana kua ndio Chuo bora duniani, lakini moja ya Products zake ni Mzee wa V. G. Cent Bwana Andrew Change.

Sasa kuna watu hawajafika hata hivyo unavyoviona bora kwa hapa na wanamwaga Points vilevile.
 
Pitz mim sio zoba kama unataka kutofautiana na mim sema 2 kama mwenzio makamuzi alaa unataka niweke k2 unachopenda wewe

we mziki wangu unauweza kweli?ebu kakojoe ukalale dogo.
 
makamuzi ,ushajulikanaa aibu 2pu majina kama mpigamsuli na mkeshajiusiku yanakuudh nivema ukachangia au kaa kimya ****
 
Mpigamsuli search google tu utapata ranks zote.Kuchangia itakuwa kama vile na waonea wengine.
 
makamuzi ,ushajulikanaa aibu 2pu majina kama mpigamsuli na mkeshajiusiku yanakuudh nivema ukachangia au kaa kimya ****
dah hili tifu haliishi?! Mi najitolea kuwa refa atakaye shindwa apigwe ban naona mnapigana majungu uzi mzima.!
 
dah hili tifu haliishi?! Mi najitolea kuwa refa atakaye shindwa apigwe ban naona mnapigana majungu uzi mzima.!

Mshauri dogo asome,,,thread anazoanzisha hazina kichwa wala miguu...ndiyo maana kumbe hajawahi kuchangia na kuanzisha thread jukwaa la siasa....analeta hapa mambo ya advance..anadhan wote hapa ni watoto kama yeye
 
mpuuz makamuz kama ungenijua mim had shule nliyosomea walikuwa wananiita politicalscientist achb kunishobokea ndg
 
mpigamsuli you are not my enemy...so if u get a chance of being selected at any institution let me know..nice day young boy/girl
 
Dah mazao ya Shule za Lowasa haya......chuo bora kichwa chako tuu labda ungesema mchepuo unaosoma Ndio uulize kipi kinatoa product nzuri sasa wewe umechanganya medicine, business, agriculture etc Swali lako halijibiki zaidi ya kupewa madongo Kama hayo apo juu.....pole kwa kutokuelewa kupotea njia Ndio kujua njia
 
jiulizekwanza,mimi nimesomea taboraboys so mimi ni noumer zaidi ya wewe
 
Aggrr kumbe ni topic ya mpiga msuli,hebu nimuache akapige msuli hana jipya huyu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…