ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Natumai wote ni wazima na mnachukua hatua za kujihami na corona virus
Moja kwa moja kwenye mada, tusaidiane nataka kufanya maamuzi ya kuweka makazi ya kudumu kwenye moja ya miji tajwa hapo juu sasa ni mji gani unafaa zaidi kwenye nyanja tajwa bila kupuuzia other factors?
Sumbawanga nimeambiwa kuna plenty of food na kilimo ni uhakika pia inapakana na DRC kwahiyo biashara ipo na kuna mzunguko wa pesa na wakazi ni wakarimu japo kuna tishio la ulozi wa radi.
Singida nimeambiwa kumechangamka kibiashara kwa kuwa ni junction ya barabara kuu na jirani na mji mkuu wa serikali Dodoma.
Maeneo yote nayapenda maana nimewahi kuishi kipindi nasoma kwa nyakati na muda tofauti. Hali ya sasa ikoje na future ya miji husika inasomekaje?
karibuni kwa tips
Moja kwa moja kwenye mada, tusaidiane nataka kufanya maamuzi ya kuweka makazi ya kudumu kwenye moja ya miji tajwa hapo juu sasa ni mji gani unafaa zaidi kwenye nyanja tajwa bila kupuuzia other factors?
Sumbawanga nimeambiwa kuna plenty of food na kilimo ni uhakika pia inapakana na DRC kwahiyo biashara ipo na kuna mzunguko wa pesa na wakazi ni wakarimu japo kuna tishio la ulozi wa radi.
Singida nimeambiwa kumechangamka kibiashara kwa kuwa ni junction ya barabara kuu na jirani na mji mkuu wa serikali Dodoma.
Maeneo yote nayapenda maana nimewahi kuishi kipindi nasoma kwa nyakati na muda tofauti. Hali ya sasa ikoje na future ya miji husika inasomekaje?
karibuni kwa tips