Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Escudo ina sifa unazotaka..tafuta yenye injini code G16(cc1590)...hutojutiaHivi Kati ya Suzuki escudo na Toyota RAV4 old model kama unaanza maisha,,gari ipi inafaa katika maana ya ulaji wa mafuta, upatikanaji wa spare parts na ustahimilivu wa mazingiraView attachment 1459260View attachment 1459261
Sent using Jamii Forums mobile app
Escudo ina sifa unazotaka..tafuta yenye injini code G16(cc1590)...hutojutia
Imeisha hiyoooo...💪Mkuu upo sahihi kuliko sahihi yenyewe. Gari ya kazi zaidi hapo ni Escudo.
Kwanza ni imara saaana yaani labda aitupe mwenyewe...
Nibembeleze nikuvulie🤒Hizi mbili nazivizia,. Nimvue mtu ,, NGOJA nisome mawazo ya wajuvi Kwanza,,ingawa Hadi sasa Rv4 0-3 Suzuki
hahaha Hapa hapa hazarani au PMNibembeleze nikuvulie🤒
Zipo Ila chache na Bei imechangamka kidogo,,,hata used zinazo uzwa sio nyingi,,Tatizo escudo kwa kuagiza nje hazipatikani labda kwa mtu natamani nipate iliyotumika nje
Namba B cha mtoto, ninaifahamu moja namba Tzc ya mwaka 1991, Mara ya mwisho ilisimama mwaka 2010 sio kwa ubovu , Bali jamaa aliichoka , kaiacha imeozea hapo.Baadae nitaipiga picha Suzuki Escudo ya mzee wangu no B muione
Ziko konki sana kama ni mtunzaji utaichoka mwenyewe, mzee wangu aliinunua 2010 hadi leo iko kama mpyaNamba B cha mtoto, ninaifahamu moja namba Tzc ya mwaka 1991, Mara ya mwisho ilisimama mwaka 2010 sio kwa ubovu , Bali jamaa aliichoka , kaiacha imeozea hapo.
Sent
Gari za Wachaga
Yes...nina rafiki yangu ana suzuki short milango mitatu. Kanasumbua sumbua AC...kuna jamaa akachakachua akaweka baadhi ya mifumo ya Toyota kama compressor na kitu kingine sikumbuki ilikuwa nini. Sasa hivi AC yake ni kama upo Antarctica..[emoji210][emoji210][emoji210][emoji210][emoji210][emoji210][emoji210][emoji2415]Hizo zote ni gari poa, shida hii suzuki Masawe huwa A/C Yake inasumbua
Ungepata Manual ingekuwa vyema
Hio Escudo massawe nimemuuzia mtu juzi. Ina engine ya cc1566 kitu kama 1600cc haili wese so ipo njema. Gari hizo ziko nyingi huku Moshi. Wachaga wanazipenda sana maana ndio gari ambazo wengi wamekuwa nazo toka zikiwa kwa wazazi.Gari za Wachaga