profesawaaganojipya
JF-Expert Member
- Apr 21, 2015
- 1,595
- 3,416
wadau nimenunua tairi mbili,kutokana na mfuko wangu,gari yangu ni noah,haiko bize sana,kati ya tairi mbili za mbele au za nyuma,nibadilishe zipi kwanza kwa sasa?na kwa nini
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ushauri ndio huuAnza za mbele maana za mbele zikiharibika au 'kubast' kwenye mwendo ni hatari zaidi kuliko za nyuma, mtazamo wangu,
wanaosema mbele ni kwa sababu ya stabilitywadau nimenunua tairi mbili,kutokana na mfuko wangu,gari yangu ni noah,haiko bize sana,kati ya tairi mbili za mbele au za nyuma,nibadilishe zipi kwanza kwa sasa?na kwa nini
mfuko mkuu,umebana..Zote ni muhimu na ni lazima!
Msipende kumrahisishia israili kazi
Inatakiwa israil aizungukie roho yako kwa tabu kama unavyomzungukia mtoto wa geti kali
Ni kweli maana nyuma haziishi mapemaKuna fundi niliwahi kusikia anasema ni vizuri ukibadilisha tairi mbili basi uziweke nyuma.
REKEBISHA kauli.. Noah ni Usafiri tu haujafikia kwenye gari (joke). Mbele 40 nyuma 35wadau nimenunua tairi mbili,kutokana na mfuko wangu,gari yangu ni noah,haiko bize sana,kati ya tairi mbili za mbele au za nyuma,nibadilishe zipi kwanza kwa sasa?na kwa nini