Vyamavingi
JF-Expert Member
- Oct 3, 2014
- 5,818
- 5,555
Yaani hizi taasisi zinatoa huduma muhimu sana lakini huduma zao ni duni sana.
Kati ya Taasisi hizi tatu, ipi ni ya hovyo zaidi?
Kati ya Taasisi hizi tatu, ipi ni ya hovyo zaidi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawa ndiyo wamevunja rekodi 😄udart ni hovyo sana.
Kama unatumia UDART maana yake wewe ni mkazi wa maeneo ya Kimara, Mbezi; huko maji ya DAWASA unapata?udart ni hovyo sana.
Kama unatumia UDART maana yake wewe ni mkazi wa maeneo ya Kimara, Mbezi; huko maji ya DAWASA unapata?
Vv
Subiri mwezi wa 9 joto likianza ndio utawajua hao wa kuitwa taanesko na dawasaKimara Temboni kero ni UDART...maji safi na Tanesco safi
Hii si amepewa muarabu auudart ni hovyo sana.