Vyamavingi
JF-Expert Member
- Oct 3, 2014
- 5,818
- 5,555
Hawa ndiyo wamevunja rekodi πudart ni hovyo sana.
Kama unatumia UDART maana yake wewe ni mkazi wa maeneo ya Kimara, Mbezi; huko maji ya DAWASA unapata?udart ni hovyo sana.
Kama unatumia UDART maana yake wewe ni mkazi wa maeneo ya Kimara, Mbezi; huko maji ya DAWASA unapata?
Vv
Subiri mwezi wa 9 joto likianza ndio utawajua hao wa kuitwa taanesko na dawasaKimara Temboni kero ni UDART...maji safi na Tanesco safi
Hii si amepewa muarabu auudart ni hovyo sana.